Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Leo nimewaza.
Napingana na mawazo niliyotoa before hapa
Sidhani ni neccessary watu wote wasome mpaka level ya Chuo Kikuu......
Waende wachache wenye pontential ya ku succeed. I mean ma genius ...lol...
Hao ndio watatusaidia sisi kuwa productive and innovative.
Sio kutumia hela nyingi kusomesha viazi kama Becky hapa … unapoteza muda mwingi … sana 'kupandisha' material ... lol
Na kwa sababu ni viazi, hatuletei ideas mpya .. wala hatutumii hii elimu kuleta mawazo chanya kwenye jamii
I believe mtu akiwa genius akapata na Elimu ..... ni combination nzuri sana.
Ya kuleta matokeo chanya kwenye jamii yetu.
Sio sasa unakuta Msomi Chuo kikuu kagraduate ila anafanya kazi ambayo aliwaacha wenzie wasioenda shule wakifanya…
Kuna mawili
Elimu aliyoipata haikua relevant..
AU
Ni mmoja ya waliokua 'wanakariri' …huko🤓🤓🤓😱😱😱
Mie naona Primary na Lower Secondary iwe FREE...
Na wote watanzania tusome.
Namanisha, kusiwe na mchujo wa darasa la saba bali form four ndio kuwe na mchujo
Na form four ndio iwe mwisho wa Secondary. ONLY GENIUS SHOULD GO TO UPPER SECONDARY SCHOOL...
YAANI, labda form five na six waende waliopata Division One na Two peke yao 🤓
Hata shule za Private hakuna kuchukua wanafunzi walio score below second grade
Badala yake..
Wale walioscore below second grade waende VYUONI
Kwa vile tunaelekea Uchumi wa Viwanda
VIJENGWE vyuo VINGI vya TECHNOLOGY, BUSINESS, KILIMO ETC
Watu waende huko.
Leo nimewaza.
Napingana na mawazo niliyotoa before hapa
Sidhani ni neccessary watu wote wasome mpaka level ya Chuo Kikuu......
Waende wachache wenye pontential ya ku succeed. I mean ma genius ...lol...
Hao ndio watatusaidia sisi kuwa productive and innovative.
Sio kutumia hela nyingi kusomesha viazi kama Becky hapa … unapoteza muda mwingi … sana 'kupandisha' material ... lol
Na kwa sababu ni viazi, hatuletei ideas mpya .. wala hatutumii hii elimu kuleta mawazo chanya kwenye jamii
I believe mtu akiwa genius akapata na Elimu ..... ni combination nzuri sana.
Ya kuleta matokeo chanya kwenye jamii yetu.
Sio sasa unakuta Msomi Chuo kikuu kagraduate ila anafanya kazi ambayo aliwaacha wenzie wasioenda shule wakifanya…
Kuna mawili
Elimu aliyoipata haikua relevant..
AU
Ni mmoja ya waliokua 'wanakariri' …huko🤓🤓🤓😱😱😱
Mie naona Primary na Lower Secondary iwe FREE...
Na wote watanzania tusome.
Namanisha, kusiwe na mchujo wa darasa la saba bali form four ndio kuwe na mchujo
Na form four ndio iwe mwisho wa Secondary. ONLY GENIUS SHOULD GO TO UPPER SECONDARY SCHOOL...
YAANI, labda form five na six waende waliopata Division One na Two peke yao 🤓
Hata shule za Private hakuna kuchukua wanafunzi walio score below second grade
Badala yake..
Wale walioscore below second grade waende VYUONI
Kwa vile tunaelekea Uchumi wa Viwanda
VIJENGWE vyuo VINGI vya TECHNOLOGY, BUSINESS, KILIMO ETC
Watu waende huko.