theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,715
Hahaha kumbe huna gharama kabisa....Mweeeeeh me binti mlokole best
Bhasi wewe dinner nzuri itakuhusu....

Hahaha kumbe huna gharama kabisa....Mweeeeeh me binti mlokole best

Huo uzi niliuona sikumbuki kama niliufungua![]()
atakua ndo huyu kaandika uzi wa nampenda lakin naogopa kumwambia
Mpotezee tuUnambwato we mbwa afu usintafutie ban mavi ww
Get well soon my in lawYaan shem nimetoka kunywa panadol
Haya shemsamahani shem najua nipo nae whatsapp
Najitaidi nisiamini lakini kauli zake kama hizi huwa zinajirudia mara kwa maraBabe unaamini na wewe
Zipo kama tatu zote zinaomba ushauri ni domo zegeHuo uzi niliuona sikumbuki kama niliufungua
Sasa kinachokuchekesha nn?
Nimecheka kwa dharau kakaSasa kinachokuchekesha nn?
Haya my crushNimecheka kwa dharau kaka
Shoga angu alikopa mpaka alienda kuuza matofali yao kwaoulishakopa woiiii nakumbuka access bank jamani
walikua wanamfata mpaka kazin,watu wabaya wale
Mkaushie mwaya,ukimjibu unampa kikiUnatusi jipya lakumtukana hyo bibie?
Access siwezi wasahau aisee toka siku hiyo sitaki kabisa mambo za mikopoShoga angu alikopa mpaka alienda kuuza matofali yao kwaowalikua wanamfata mpaka kazin,watu wabaya wale
![]()
Sasa babe nakuibia nini jamani mzoee tu shemeji yakoNajitaidi nisiamini lakini kauli zake kama hizi huwa zinajirudia mara kwa mara
Poa ngoja nipuuzieSasa babe nakuibia nini jamani mzoee tu shemeji yako
Ndo mana mekwambia usimjbu kumpa kiki bure atembelee nyota za watu
Access siwajui vizurAccess siwezi wasahau aisee toka siku hiyo sitaki kabisa mambo za mikopo
finca na bayport ni shida

Haahhaha jaribu l pesa kipenziAccess siwajui vizurfinca na bayport ni shida
![]()
![]()
Haahhaha jaribu l pesa kipenziAccess siwajui vizurfinca na bayport ni shida
![]()
![]()