Hahahahaha na ujeda wake kawa mdogooooMjeda chaliiii, nasubiri hilo comeback!
Maana mjeda haahindwi kutokea kwapani. Sio kwa mbio zile!
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanaume pumb nusura ziing'inie chini khakhakhaaaaaaaHahahahaha! Wazir kiboko, eti mh.Rais nakuja sahz, na hizo mbio za mjeda vipiiiii![]()
Hahahahaha na ujeda wake kawa mdogoooo
Wanaume pumb nusura ziing'inie chini khakhakhaaaa
Usiombe kwenye ndoa Mke wako atambue kwamba unachepuka halafu awe ni MTU mwelewa kama alivyo mama mjeda atakuharass kisaikolojia mpaka Italia ni bora mjeda pumbu zilibana akaona ajifanye anamfuata Waziri lasivyo hapo angepiga salute kwa kruta
UtaliaUsio
Nyie waongoo waongoo bwana mi nawapa watu namba pm pesa hamtumiii mna kazi ya kunitongoza KLM. Hahahaaaaa! Wasomaji wangu siwatakiiii kwa fix. Wanaweza kukuchuuza mtu mzima hivi hivi.Lara 1 weka ile namba nataka nitumie hela haiwezekan nifurah bure.
We Dada ushaanza malingo malingo kama utaratibu wako ulivyooJamani story itaendelea kesho! Hali ya hewa sio nzuri kabisaa
Naomba namba ya kufanya muamala PM tafadhali...Jamani story itaendelea kesho! Hali ya hewa sio nzuri kabisaa
DuuuuhJamani story itaendelea kesho! Hali ya hewa sio nzuri kabisaa
Adventure too!Link haifunguki, ila I'm sure it's nasty stuff!
Curiosity killed a cat!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()