Ok,sawa.Jamani mkitaka story leo AMARULA! Bila hivo mlale mapema tu! Jana mida ya majeruhi kuna mtu alituma ya bapa ndogo! Ikasababisha story kuja saa 8 kasoro huko! Sasa leo kama mtu anatuma atume mapemaaa watu mpate vitu vizito vya kusukumia weekend mapema! Au sio ndugu wasomaji!
Afu leo nipo in good mood yaani! Mkifanikisha BAPA KUBWA ni mwendo wa XXXXXL! Ni kumpa kaisari yaliyo yake kaisari mwanzo mwisho! Bapa dogo tunaendelea kuimba mapambio! Namleta Mlokole! Haleluyaaah za kutosha na weekend lote hili!
Kazi kwenu!
Too bad umesema hutaki hela za wanawake wenzioJamani mkitaka story leo AMARULA! Bila hivo mlale mapema tu! Jana mida ya majeruhi kuna mtu alituma ya bapa ndogo! Ikasababisha story kuja saa 8 kasoro huko! Sasa leo kama mtu anatuma atume mapemaaa watu mpate vitu vizito vya kusukumia weekend mapema! Au sio ndugu wasomaji!
Afu leo nipo in good mood yaani! Mkifanikisha BAPA KUBWA ni mwendo wa XXXXXL! Ni kumpa kaisari yaliyo yake kaisari mwanzo mwisho! Bapa dogo tunaendelea kuimba mapambio! Namleta Mlokole! Haleluyaaah za kutosha na weekend lote hili!
Kazi kwenu!
Hahaa sio kwa kutunanga huku duh !!Too bad umesema hutaki hela za wanawake wenzio
Ningekutumia kilo shost
But I respect your decisions
Tatizo wanaume wengi jf ni marioo tu
Ukiwategemea imekula kwako
Sorry to say that but it's the truth
Wengi wadangaji;team njaanjaa, ukiwapapasa watoka na unga
They broke as hell, trust me
Too bad umesema hutaki hela za wanawake wenzio
Ningekutumia kilo shost
But I respect your decisions
Tatizo wanaume wengi jf ni marioo tu
Ukiwategemea imekula kwako
Sorry to say that but it's the truth
Wengi wadangaji;team njaanjaa, ukiwapapasa watoka na unga
They broke as hell, trust me
Nimecheka ka fala yaan dahToo bad umesema hutaki hela za wanawake wenzio
Ningekutumia kilo shost
But I respect your decisions
Tatizo wanaume wengi jf ni marioo tu
Ukiwategemea imekula kwako
Sorry to say that but it's the truth
Wengi wadangaji;team njaanjaa, ukiwapapasa watoka na unga
They broke as hell, trust me
Kwani hii story hua unawaletea wanaume tu??UNANITEGAAA! Shoga nashukuru kwa moyo wako! Kufeli maisha kuna stages na sijafika ya kuwalieni wanawake wenzangu pesa zenu! Ukishaanza kuchuna wanawake wenzio yani baaas tena!
Afu wanaume wa humu EMPTY SET kabisaa! Mimi sio kwamba nina shida kihivooo nashindwa kunywa Amarula! Tatizo ili niandike mambo mazuri lazima ninywe! Kwa siku 32,000 na nisha jicommit kuwaletea story! Kwa mwezi ni 900,000 ya unywaji tu hio jamani! Si naishi apartment kabisaa! Mnionee imani! Ndo maana kila mtu akitoa siku moja sio kesi si mnafaidi wengi! Ila asiwe mwanamke!
Wanaume fanyeni kukasirika basi
Hahaha unatafuta fitaToo bad umesema hutaki hela za wanawake wenzio
Ningekutumia kilo shost
But I respect your decisions
Tatizo wanaume wengi jf ni marioo tu
Ukiwategemea imekula kwako
Sorry to say that but it's the truth
Wengi wadangaji;team njaanjaa, ukiwapapasa watoka na unga
They broke as hell, trust me
Acha maswali mengi sababisha watu tupate vitu konkiKwani hii story hua unawaletea wanaume tu??
Usipoleta ni wanaume tu ndo wanakosa utamu??
Samahani but am just curious tu
Hahaha unatafuta fita
We ndio kwanza umejiunga dakika chache zilizopita,hii story umesoma sangap?Mmmmmmhhh! Nouma
We ndio kwanza umejiunga dakika chache zilizopita,hii story umesoma sangap?
Na ukizingatia hii ni moja kati ya story ghali kabisa duniani!
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Jamani msinichoshe, nisiwachosheee, nilipokuwa hamna mabaya sanaa wala memaa sanaa, na najua hamnijali sanaa kutaka kujua. Tupeane story.
Story iliopita sikuimalizia bila sababu za msingi kiukweli. Na sitoimalizia sababu isha expire.
Kilichonirudisha kuandika story si kingine ni njaa zangu tu, na my one and only sponsor of all times, MAN OF THE PEOPLE (MOTP) nimempiga kizinga sio cha kitoto, alivo firauni ananizungusha zungusha tu. Mpaka nakaribia kususa. Hamna hamna nimejiongeza mjini ya bure salamu tu, nimuandikie bonge moja ya story akiwa in mood nimchune mie.The hustle is real. Jamani wabeba box wote hamnioniii? Mnisambazie ma western union.
I promise hii story nitaimalizia. Kwanza fupi.
BEN 10 NI FIRE!
JAMANI SI KWA MUALIKO HUU! Nimefanya tu sampling ya comments za readers wangu kwenye stpry 3. Kama nimekuruka bahati mbaya. Ila sitopenda mmiss hili vunja jungu