Weekend Njema

Asante Vivi.

Nawatakieni weekend njema marafiki wote.

KH where have you Been. yaani nataka tu organize ka get together mimi wewe na Bebii. Nitakupigia baadae tupange.

No. yangu si unayo? siku hizi natumia ile ya voda inayoishia na 693.
 
haaaaa tegeta hapana labda siku nyingine bwana

poa basi tufanye hiyo lemon tree, ule wako uingie mitini. hiyo fine labda uje uombe na jani fulani linaitwa ''isale''
 
poa basi tufanye hiyo lemon tree, ule wako uingie mitini. hiyo fine labda uje uombe na jani fulani linaitwa ''isale''
ilo jani bwana nimelimis kweli kule nndeni nilikuwa nikipewa ma meal siyapendi nakula then naenda kujitapisha nalo nimelimis kweli mtu achafui tumbo yako hvhv sema lina balaa kweli ni nomaaaaa
 
KH where have you Been. yaani nataka tu organize ka get together mimi wewe na Bebii. Nitakupigia baadae tupange.

No. yangu si unayo? siku hizi natumia ile ya voda inayoishia na 693.

Nipo my dear.........naona tunapishana tu. Hiyo itakuwa njema sana. Waiting for your call...................
 
ilo jani bwana nimelimis kweli kule nndeni nilikuwa nikipewa ma meal siyapendi nakula then naenda kujitapisha nalo nimelimis kweli mtu achafui tumbo yako hvhv sema lina balaa kweli ni nomaaaaa

ha ha ha ha ha. Kumbe unalijua lile? Nilitaka nilitaka Ukamuulize asprin. Juzi tu kanikosea kaja na lile jani na Nyama iliyofungwa na majani ya migomba. ''Kisangu''
 
hakikisha unakisu kikali!!
ahahaaaa fb nakutegemea pale siti ya mbele na kwenye chorus papaaa ................ muzee ya bot mbuzi analia tu meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
ha ha ha ha ha. Kumbe unalijua lile? Nilitaka nilitaka Ukamuulize asprin. Juzi tu kanikosea kaja na lile jani na Nyama iliyofungwa na majani ya migomba. ''Kisangu''
hiyo red siipati ndo nini hiyo?
 
Hilo nalo jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…