Kuna binti jiran mrembo
nimem-aproach takribani mwezi wa tatu sasa lakini majibu yake yalikuwa
negative.
Ghafla leo kani-text akihitaji nimtoe out kwani leo ananafasi hadi saa
4-usiku.
Sasa hapa nilipo hata nauli ya daladala sina nimemtonya jamaa yangu naye
hali mbaya, yaani ndege anapeperuka hivi hivi jamani? Weekend mbaya
sana kwangu