Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
-
- #141
asante my dear.......my dear, upo pande zipi?? pande zile au zile nyingine na wakwe zangu?? salamu zimefika nitakusalia sala yangu, hiyo ndiyo haswa zawadi yangu kwenu!
Umenena sawa kabisa mpendwa.yan Snowhite,
Ndoa ni maisha ya kijamii,
Muunganiko wa jamii mbili tofauti
mwanaume atatoka kwao na mwanamke vilevile atatoka kwao
kila mmoja ana malezi yake,
Wanapoungana kuishi pamoja
lazima mabaya na mazuri yatokee
ili muunganiko ukamilike..
sasa wanaolalamikia NDOA au Mahusiano, huwa wanachukua negative tuu na positive wanaiacha
zen wanaanza kuwatisha wenzao kwamba ndoa mbaya au mapenzi mabaya!
na wakati watu wanajienjoy kwenye mapenzi yao..kama FP hapa c ametoa ushuhuda mzuri means ndoa/mapenzi ni nzuri tuu!
Amen,let you two get along forever long
Yeeah it sounds vital to hear also the other side of marriage as we have always been bombarded with the negativity..
By the way...mdogo wangu wa kuachiana ziwa snowhite mie nipo salama tu bwana...Nasubiri tu muda ufike tukapige mpunga kwa bidada FP na shemeji kwa kufikisha aka kadhaa za kuwa na pingu za maisha...
labda mpunga tufanye weekend, leo ni kwa ajili yetu wa2 tu. si unajua tunahitafi kufanya analysis? tulianza jana usiku, tutamalizia leo usiku, ha haaaaaaaaaYeeah it sounds vital to hear also the other side of marriage as we have always been bombarded with the negativity..
By the way...mdogo wangu wa kuachiana ziwa snowhite mie nipo salama tu bwana...Nasubiri tu muda ufike tukapige mpunga kwa bidada FP na shemeji kwa kufikisha aka kadhaa za kuwa na pingu za maisha...
ha haaaaaaaaaaaaaa, hilo ni dongo rafiki? zawadi imefika, with thanxMie naona kama watu wanamwaga mahongera kwa tuu vile?
Nampongeza pia huyo mkuu wa nyanda za juu kusini.
Mpe hii zawadi on behalf please. lol
mpiga debe mimi nashukuru sana, bado nakumbuka..... hope ile ndoa haijavunjika.Hongera sana FP "mpiga debe wangu"...! Ndoa yenu bado changa jamani...!
my lovely pacha kaka yangu wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,umesikia habari hizi!dada leo kasema tupitie tu watoto!labda mpunga tufanye weekend, leo ni kwa ajili yetu wa2 tu. si unajua tunahitafi kufanya analysis? tulianza jana usiku, tutamalizia leo usiku, ha haaaaaaaaa
ha haaaaaaaaaaaaaa, habari ndio hiyomy lovely pacha kaka yangu wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,umesikia habari hizi!dada leo kasema tupitie tu watoto!
that's my sister........................ cheers!kaka yangu mpenzi wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,dada FP kasema leo watakuwa wenyewe tu na shem wetu!sisi tusubiri ya miaka 15,sana sana tunaweza kwenda sehemu tujipige jipilau kwa niaba yake,af tuwapitie watoto tuwbaby sit!ili wawe na the whole house by themselves full kukimbizana juu ya makochi!
that's my sister........................ cheers!
labda mpunga tufanye weekend, leo ni kwa ajili yetu wa2 tu. si unajua tunahitafi kufanya analysis? tulianza jana usiku, tutamalizia leo usiku, ha haaaaaaaaa
kaka yangu mpenzi wa kuachiana ziwa kwa mama yetu,dada FP kasema leo watakuwa wenyewe tu na shem wetu!sisi tusubiri ya miaka 15,sana sana tunaweza kwenda sehemu tujipige jipilau kwa niaba yake,af tuwapitie watoto tuwbaby sit!ili wawe na the whole house by themselves full kukimbizana juu ya makochi!
Ndugu zangu wapendwa, leo tarehe 9/10 ni kumbukumbu ya agano langu la ndoa kati yangu na mpenzi wangu miaka 13 iliyopita.
Namshukuru sana Mungu wangu kwa kunipa huyu rafiki yangu kuwa mwenzangu. Ni jambo ambalo sijawahi kulijutia katika miaka yote 13 niliyoishi naye. Nazidi kumwomba Mungu tuzidishe upendo katika haya maisha tuliyoyachagua.
Nawaomba pia rafiki zangu wenye mapenzi mema mzidi kutuombea maisha yenye Upendo, Baraka na Neema.
najua mlongo wangu, yaani yajisikiaje furaha kukupata mlongo wewe? Stay Blessed kwa kwelimie tena navopenda usikie raha dadangu!akha!:A S 465:😛oa
Amen.Unajua JF ni forrum ya kipekee sana...yaani nilivyokua namuwazia huyu dada alivyo..I never thought kwamba eti atakua na ndoa tena for 13 years!!!!
MUNGU AKUWEKEE MKONO WAKE UPATE KUIONA 50th ANNIVERSARY UKIWA NA FURAHA NA HUYO MWENZIO!!!
amina!amina !najua mlongo wangu, yaani yajisikiaje furaha kukupata mlongo wewe? Stay blessed kwa kweli