Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Asante sana mdogo wangu, ni kweli ni jambo la kumshukuru Mungu
asante sana mlongo wangu.......... mnanipaje raha sasa! wangoni oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
Ndugu zangu wapendwa, leo tarehe 9/10 ni kumbukumbu ya agano langu la ndoa kati yangu na mpenzi wangu miaka 13 iliyopita.
Namshukuru sana Mungu wangu kwa kunipa huyu rafiki yangu kuwa mwenzangu. Ni jambo ambalo sijawahi kulijutia katika miaka yote 13 niliyoishi naye. Nazidi kumwomba Mungu tuzidishe upendo katika haya maisha tuliyoyachagua.
Nawaomba pia rafiki zangu wenye mapenzi mema mzidi kutuombea maisha yenye Upendo, Baraka na Neema.
Asante sana na tunamshukuru Mungu kwa hiloNi raha iliyoje kuona watu wanafikisha miaka kumi na tatu( 13) ya ndoa,naamini mmepitia mengi hadi hiyo miaka 13 hapa namshukuru Mungu kuwa na nyinyi kwani ukiona machafuko jua mmemkaribisha shetani ila yenu Bwana amewalinda mmefikia hapo nawatakia miaka mingi yenye furaha.
Mkumbukeni Bwana kwa kila mtendalo kwani He is Alpha and Omega
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
what would I have done without you mlongo wangu? usengwili sana.
naomba ni-copy hili na la kaka Mzee Tupatupa, nimpe na shemeji yenu aone watu wanavyotupenda
Amina mdogo wangu. Ndoa ni taasisi ambayo ina challenges nyingi sana, yaani Mungu pekee ndio anaweza kuisimamia. Kila kitu kinawezekana kwa uwepo wa MunguAmina..............kwakweli anastahili sifa kwa kukutumia wewe dada yangu kutuonesha kuwa bado inawezekana kuwa katika ndoa aliyobariki Mungu, japo wengi wanaidhalilisha taasisi ya ndoa Takatifu...........umenipa moyo kweli. Uzidi kubarikiwa
ha haaaaaaaaaa, amina na asante sana rafiki.hongera sana FP Mungu awape baraka zake nyingi na muishi kwa upendo, amani, utulivu na uvumilivu kwani ndo silaha ya upendo wenu, sijui kama mna watoto basi Mungu awape wattoto matwins doubledouble kama mchanga wa bahari
nakutakiaa siku njema na yenye furaha tele hebu furahia zawadi hii nimeituma kwenu na ndege ya furahia airwing
basi pokea hiyo hapo
View attachment 67677View attachment 67677 kimoja ni chenu na kingine ni cha hao matwins doubledouble
hongereni sana msalimie shem basi mwambie twampenda mimi furahia na Ency
siku njema
asante sana jamani, mwaaaaaaaaaah ladyfurahianilisahau kukumwagia busu mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa beibe FP
asante sana Chelian.
Tunamshukuru Mungu ametujalia watoto 3, binti na wakaka 2
asante best, ni kweli tunamshukuru Mungu. siri ya mafanikio ni msaada wa MunguHongera sana best,miaka 13 si lelemama.Naomba siri ya mafanikio
my pacha si unajua mambo ya furaha kwa dada yetu wa moyoni FP yani mi huwa najisikia vizuri sana mtu akiilezea ndoa kwa uchanya kiasi hiki.!si utani inahamasisha na wengine kwa kweli!upo lakini my pacha!mimi miss yu kaka!Mzee Tupatupa na my pacha snowhite mmetisha..lol!
Amen BelindaJacobHongera FP na mume wako. I pray for you guys to grow old together!..special plans leo??