Si mara ya kwanza, nimepata virus kwenye comoputa yangu juzi nilipotembelea website ya TANAPA, na kuna kipindi pia niliwahi kupata shida hii, hasa hasa hizio website za .tz nadhani tunahitaji ku-review security protocol ya .tz
Aibu! Site hii ndiyo ulikuwa ukiitembelea, inasoma hadi IP Address yako na inakuonya kuwa address yako ni.... kuonyesha hauko secure