Hii itakuwa kali kweli ukijivinjali katika tovuti ya Wizara ya Afya (www.moh.go.tz) utakutana na jamaa likiwa na bunduki kali sana! na kuna maneno haya HACKEDBYCELLAT. Nafikiri kutokana na hili suala ndiyo maana vitu vingi havifunguki katika tovuti hiyo. Ni vema wakatatua tatizo mapema kama kweli watakuwa wameingiliwa...