Website ya Wizara ya Afya "hacked"

Usokitabu

Senior Member
Apr 23, 2012
107
7
Hii itakuwa kali kweli ukijivinjali katika tovuti ya Wizara ya Afya (www.moh.go.tz) utakutana na jamaa likiwa na bunduki kali sana! na kuna maneno haya HACKEDBYCELLAT. Nafikiri kutokana na hili suala ndiyo maana vitu vingi havifunguki katika tovuti hiyo. Ni vema wakatatua tatizo mapema kama kweli watakuwa wameingiliwa...

attachment.php
 
dah hao cellat noma yaani turkish ndo wanatuchezea hivi heheh lazima itakuwa shut down soon
 
heheh kwani huyo IT wao anaweza zuia hizo attacks from professional hackers kama yeye mwenyewe hajajipanga?
 
hii hahari sana wanaweza kuiangamiza asekta nzima
na kuwaibia pia kimtandao wakajikuta hawana kitu.
 
naona kuna uhusiano na jeshi la uturuki...wana uhusiano mzuri na jk hii nchi!!sijui hayo mambo ya IT,whatever rhat hacking thang mean
 
nashangaa sana .kwani tuna tatizo lolote na waturuki?isitoshe hawa ni washikaji zetu sana tu
 
Haya mambo yanatokea Tanzania tu. Nchi yenye kila aina ya maajabu!! Wizarani wamezoea nakala ngumu (hard copy) tu.
 

Rules of the death executioner İnfaza Officer
Chief executioner executioners per
Subasi provost marshal of the city
Asesbaşı Janissary Corps provost marshal
Top of Insect Head of Secret Police


Executioner, the title of the person to execution of death sentences. These persons accepted in those countries where the death penalty as the criminal organization's staff as they work; Cellatlık the place of execution , not a particular function, such as the person on the execution of the death penalty illegal, arbitrary or be perceived as a form of behavior.
Person will be chosen as the language of the Ottoman Empire and executioner executioners cut sağırdırlar.
[h=2]History[/h] Executioner arabic "whip hitting", meaning "CELD" is derived from the root. Ottomans executioners; formerly Croats , then the Gypsies were selected. Execution of slots to be cut out to prevent anyone ski mask-like faces a bruise taktıklarına many early travelers encountered.

hii ni informal translation ya hili neno CELLAT.je hii ina maan gani??
 
dah hii kali kwakweli inamaana hawajastuka tu hadi sasa
 
Back
Top Bottom