Kwa nyakati tofauti rafiki yangu mmoja amekuwa anajaribu kutembelea tovuti ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo lakini inaonekana pages sijui zimenyofolewa au ndo maintenance...tuweke basi hata ka taarifa kanachoeleweka kwenye tovuti hasa inapokuwa chini!Angalia hiyo screenshot ya tovuti hapo juu!
Mkuuu hata mimi nimeshatoka jasho...... Duh! Ila nawaaminia after tym tuchek inaweza kuwa poa. Otherwise wanaboa... Inabid waweke warning kama wanafanya maintenance!! Waache kuchukulia vitu poa udsm is international so things like this they undermine it.... Shame of u it guys!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.