Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,080
- 744
Clouds FM mnaojiita redio ya watu, kwanza niwapongeze kwa kujitanua mikoani, kwa sasa mnapatikana hadi vijijini. Hii ni hatua muhimu sana.
Shida moja kubwa ni kwamba tovuti yenu haijawa updated tangu mwaka 2007, yaani akina Masoud Kipanya bado ni watangazaji wa Clouds Fm hadi leo ilhali hatuwasikii tena. Tovuti yenu bado ina matangazo ya kampuni fulani ya simu ilhali kampuni hiyo ilishabadilishwa jina. Hivi mnataka kutuaminisha kwamba hamjayaona haya? Kwamba hamna uwezo wa ku-maintain website? What a shame! Badilikeni bwana!
Najua akina Babra Hassan, PJ, Too Short, Gea Habib, Dina Marios na wengine huwa mnapita hapa JF, naomba muwaambie wakubwa wenu wa-update hiyo tovuti yenu.
Mzee hilo ni suala la taaluma na siyo kupiga mdomo tu na ujanja ujanja? ukosoaji wenu ni mzuri ila muweni watu makini ndugu zanguni.
Nadhani watarekebisha sasa kweli Jf kiboko!
Boring mazee...kila kitu taaluma taaluma...kha!!Nina wasiwasi na taaluma zao katika fani ya uandishi na utangazaji wa habari
Boring mazee...kila kitu taaluma taaluma...kha!!
Boring mazee...kila kitu taaluma taaluma...kha!!
Sio web site tuu kimeo,watendaji wote wa clouds ni vimeo kupindukia!!Kweli nyani haoni kundule lake, hawa jamaa WAJUAJI wa clouds tena kupitia kipindi chao cha Power Breakfast show huwa wako mstari wa mbele kukosoa mambo mengi sana lakini leo nimewabamba. Website ya clouds haifanyiwai marekebisho kwani mpaka sasa inaonyesha watangazaji wa PB ni kina Kipanya duh. Gerald na Barbara mnakumbuka jinsi mlivyoikosoa website ya ikulu kuwa haiko updated vipi huu ukurasa wenu hapa??? http://www.cloudsfm.co.tz/cont_pbfast.phphttp://www.cloudsfm.co.tz/cont_pbfast.phphttp://www.cloudsfm.co.tz/cont_pbfast.php