Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Je ulijua kuwa ndombolo na zouk ni traditinal music ya Tanzania? je ulijua sprgheti ni chakula asili cha Tanzania? Ubalozi wetu Ukitaka ujue kama ndombolo ni muziki wa asili wa Kitanzania na spargheti ni chakula cha asili cha Watanzania nenda tovuti ya Ubalozi wetu USA. http://www.tanzaniaembassy-us.org/tzepeo.html Ni mewaandikia wakajibu watanijibu mpaka leo jiii sa unadai hivyo nenda kacheki......ukicheka unanilipa
Kichekesho kingine website ya ubalozi wa Marekani Dar es salaam ina lugha ya kiswahili na kiingereza website ya ubalozi wetu Washington ina lugha moja tu ya kiingereza,ina maana ipo kwajili ya Wamarekani tu au?... website ya Ubalozi wa Marekani Tanzania http://tanzania.usembassy.gov/
Kichekesho kingine website ya ubalozi wa Marekani Dar es salaam ina lugha ya kiswahili na kiingereza website ya ubalozi wetu Washington ina lugha moja tu ya kiingereza,ina maana ipo kwajili ya Wamarekani tu au?... website ya Ubalozi wa Marekani Tanzania http://tanzania.usembassy.gov/