tafuta sababu nyingine ya kufungwa kwa chelsea na sio kumsingizia mwamuzi kwani kwanini waliwaruhusu man u wakaingia mpaka kwenye kumi na nane yao...ukibebwa jishikie..know how to defend your win ,from 3-0 to 3-3 well done man u...
C.......mkifungwa na Man U mnasingizia refaa, mbona mkifungwa na timu nyingine hamsemi, huo ni ujinga: tena mshukuru Mungu muda uliisha vinginevyo msingeambulia hata hiyo pointi 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.