Webb box.

Webb box.

std7

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
2,411
Reaction score
4,189
Nimeona tangazo kwenye tv kuusu hiki kifaa.
 
ni gimmick. usipoteze hela kununua. it is a toy internet at best; albeit an expensive one at 180000 better buy a 3g phone
 
ni gimmick. usipoteze hela kununua. it is a toy internet at best; albeit an expensive one at 180000 better buy a 3g phone

Uko sawa mkuu,hiyo web box haidumu wala nini..na kuna jamaa yangu yuko Uingereza ananiambia kuwa kwao yameisha soko kwa sababu watu wanai hivyo mengi yanaanza kuletwa Africa....hivyo bora kununua 3g phone
 
Rahisi kumbe ghali wakuu nashukuru mana bora uingie garama ununue kitu cha ukweli.
 
vodafone-webbox.jpg

Kitu yenyewe inatumia GPRS/EDGE, kwa speed ya EDGE hapa bongo utalia mwenyewe maana unaweza kutoka Mwenge kwenda K/Koo na kurudi ukakuta ukakuta file la 5mb tano halijamaliza kudownload.
 
Sasa hawa watu kwanini wantuletea vitu ambavyo huko vilikotoka havitumiki vimepitwa na wakati halafu wanatulangua TCRA mbona wamelala au kazi ni kula tu mishahara wanayolipwa kwa dollar,
 
Bora ni connect tuu my laptop kwnye HDTV yangu na TTCL , kuliko kutumi hii ambayo ina zile RCA cables so picha inakua analogue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom