wewe mtu unaakili sana...umemjibu vizuri...Mwambie mwanaume yoote lakinii sio kumfadhahisha sababu ya maumbile yake, ni dharau kubwa mnooo.
Kama yupo humu unafikiri anajisikiaje sasa!!! Je akipata mwingine unadhani atakuwa na uwezo kama kawaida???! Hapa ndo naamini wanaume wengi wanakosa nguvu za kiuume sababu ya midomo yetu!!!!!
Mwanaume akulale siku zoote husemi umemchoka ndo waanza kejeli, sio vizuri bwana. We umemchoka chukua hamsini zako tu, wanaume mjifunze sasa sii kila muonacho chang'aa ni dhahabu, vingine ni chupa na yaweza kukukata!!!!
siyo roho mbaya mwanga huyo siyo bure...Duuu unaroho mbaya, pole kwake huyo kaka maskini kama yupo humu atakuwa kajisikia vibaya.
Asee povu LA omo mixer Foma gold....Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Ni nani huyo?Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Acha dada utafkili kamuumba yeye ujue aibu nimeona mimi pole yake tu huyo kaka
Anajuta saa hizi ila dada hii imevuka kiwango ujue.
Ulisikia yupo Jf. Toa aibu yako hapa.Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Usikute bwanake anatumia Nokia tochi huo ujumbe atauonaje humu mmu,heri angemwambia liveyupo humu??
Waogopa kuchanikaChako sio kibamia
Nalendwa huyo mwenzio ataka jibamia kubwa kama guu la trumpJomoonii!
Bora uniache tu kwani hata mi nlikua nakutafutia sababu,Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu