Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Hii Kampuni inayolindwa na Wanasiasa Mafisadi, licha ya malalamiko mengi kwa uongozi wa VODACOM kutupilia mbali udhamini wa tovuti unaowafundisha watoto wetu ukahaba, yaanu U-turn Blog, uongozi wa Vodacom umeweka Pamba masikioni. Hii inaashiria kwamba, hawa watu wanajiona kama vile "they are not accountable" kwenye jamii yetu. Hii kampuni inalindwa na wanasiasa Mafisadi
Kusema kweli hii blog inavunja misingi ya maadili yetu. Watoto wadogo na wanawake wanadhalilishwa huku wakifundishwa ukahaba, yaani kuwa na mume mzungu ndio bora zaidi. Kama jamii tunaomba siku ya Jumanne Ijayo iwe ni sku maalum ya kutokutumia Mtandao wa Voda hadi waondoe udhamini wao dhidi yah ii tovuti. Tayari tumeshapeleka malalamiko FBI pamoja Homeland security. baadhi yetu tuliyoko kwenye vyombo vya usalama tunashindwa kuelewa ni nini kinachoendelea na hii kampuni.
TUNAOMBA EMAIL YA MD WA VODACOM ILI TUMALIZE TATIZO LA U-TURN
Kusema kweli hii blog inavunja misingi ya maadili yetu. Watoto wadogo na wanawake wanadhalilishwa huku wakifundishwa ukahaba, yaani kuwa na mume mzungu ndio bora zaidi. Kama jamii tunaomba siku ya Jumanne Ijayo iwe ni sku maalum ya kutokutumia Mtandao wa Voda hadi waondoe udhamini wao dhidi yah ii tovuti. Tayari tumeshapeleka malalamiko FBI pamoja Homeland security. baadhi yetu tuliyoko kwenye vyombo vya usalama tunashindwa kuelewa ni nini kinachoendelea na hii kampuni.
TUNAOMBA EMAIL YA MD WA VODACOM ILI TUMALIZE TATIZO LA U-TURN