We Double Dare Them: Do it Again...Tunawathubutisha! Fanyeni Tena...

We Double Dare Them: Do it Again...Tunawathubutisha! Fanyeni Tena...

Naam

Nadhani unafahamu kitakachokwenda kutokea kwahiyo ilikuwa ni busara kuja na njia mbadala ya kusuluhisha haya mambo ili yaweze kuisha

Kutunishiana misuli kwa kuwaweka chambo watoto wa masikini mnakosea sana na hakika mtakuja kulipa hili

Kifo hakijawahi kuwa suluhisho la tatizo lolote watu tunaoshindana nao hatuwawezi kwa namna yoyote

Kila mwananchi anaelewa system ya Government ilivyo so haina haja ya kila dakika kuanzisha mathread ya kuchochea maaandamano

Hii inaonesha kwamba kuna watu ni wanufaika wakubwa wa haya maandamano, kuna watu ndo wanapopatia ugali wao that's why hawataki option nyingine yoyote zaidi ya hii waliyoichagua

Watanzania inatakiwa tuamke sio kila jambo ni la kubeba tu kama matahira tunashindwa hadi na kunguru ambaye akiona umeshika manati atakimbia eneo hilo kwa sababu anajua madhara yake

Kumshawishi raia masikini aende barabarani akiwa hana silaha yoyote ya moto huku mkijua kabisa atakachoenda kukutana nacho ni dhambi moja kubwa sana na hakika mtaenda kuchomwa motoni

Hao kina Hilda na Maria Sarungi wanashindwa nini kutoka Kenya huko kuja kuungana na wenzao huku kupamabania nchi yao.Wao ndo wanajiita mashujaa wa keyboard na kuna nyumbu za Tanzania zinaingia kweli barabarani aisee

Boniface Mwangi mwanaharakati maarufu Kenya kipindi cha maandamano ya Gen Z wa Kenya wala yeye hakuhamasisha akiwa Uganda au Tanzania bali alikuwa palepale Kenya na siku ya maandamano alikuwa front vile ndo inatakiwa

Kuna yule Aunt Lulu kabla ya kukengeuka alishawahi kukiri kuwa analipwa Milioni mbili kwa mwezi na Sativa kwa ajili ya kupost harakati tu hii inaonesha kuna pesa wanapata kupitia hayo mambo

Tunaizika nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe
Kuna njia gani nyingine mbadala uliyoona wanaitaka? Je, kwa yaliyotokea oktoba 29, ni kweli kabisa hadi sasa hakuna aliyetakiwa kuwa ama amewajibishwa ama amejiwajibisha?

Kuna wakati kiburi hakijengi na sugu aliwahi kuimba kuwa kiburi dawa yake jeuri. Acha wanayoyataka yatokee
 
Serikali ina makosa pia na wameshakiri wenyewe wamekosea

Tuwape room ya kujirekebisha na kutenda yale waliyoahidi.Tunachotaka kukifanya sisi ni kumporomoshea matusi mtu unayemdai akiwa amechelewa kurejesha na pesa akiwa bado kaishika mkononi mwake anaweza akaamua kuondoka nayo na asikulipe tena

Hizo habari za dunia kuangalia ndo zinawapoteza vijana kwanini tukariri njia moja tu ya kupambana na hawa madhalimu njia ambayo tumeona madhara yake

Njia ambayo tumeona wanachi wengi hawajaiunga mkono ndo maana tumeona misururu ya watu wakiondoka Dar kwenda vijijini

Kwenda barabarani na jiwe huku mwenzako akiwa na bunduki inaonesha jinsi gani tuna akili finyu

Kushawishiwa na kakikundi cha watu wachache hasa wanafahamika wa chama fulani waliopo nje ya nchi kuingia barabarani halafu wao wakichungulia kwenye computer zao kinachoendelea ni upumbavu

Tunawapenda ndugu zetu bado tunatamani kuwa nao na ndio maana hatutaki kuwapoteza hata Sativa hatamani kufa ndiyo maana badala ya kujeruhiwa na risasi akakimbia nchi kabisa ila eti anawashauri wale waliopona October 29 nao waende tena huku yeye akiwa nje ya nchi 😅🥲 inafurahisha na kuumiza sana
Which room are you talking about mkuu ? Enough is enough. Tangu tumeomba reform ile ni room l . Wangekubali tungekua na uchaguzi huru na wa haki mambo ya October 29 isingetokea. SASA HATUWEZI KUONGEA NA MTU ASIE TAKA KUTUSIKILIZA huoni kua wameziba masikio kabisa .
 
Ha ha ha Mimi juzi nilikutana na Polisi nilimkata jicho Kali mpaka ajishitukia mwenyewe.

Nikipata nafasi ya kulipa KISASI nitalipa haraka
Hatutaki kuishi kwa kulipiza kisasi; tunachotaka ni kuhakikisha kuwa tunaishi kwa uhuru katika nchi yetu; tusiishikwa hofu ya kupigwa, kutekwa, kubakwa na kufanyiwa kila aina ya ubaya kwa sababu tu kuwa tuko kinyume nao.
 
Suluhisho gani la maana na la kudumu litapatikana kwa kumtishia yule ambae unataka msuluhishwe nae?

Badala ya kuwalaumu wanaotaka kudai haki yao bila silaha mikononi ulipaswa kuwalaumu wale wenye silaha ambao wako tayari kuzitumia ili wasisikie madai na vilio vya wale ambao kodi zao ndio zimenunua hizo silaha.

Watapungukiwa nini wakiwaachia waandamane bila kuwadhuru? Si ndio watasikia vizuri machungu yao na masikitiko yao?

Inatakiwa tukubali kuwa wenye nchi wana haki ya kusikilizwa na kuheshimiwa. Kuwabeza na kuwatisha hakuwatendei haki.

Amandla...
Unajua kuna watu wanafikiria - kwa makosa kabisa - kuwa kupigiwa saluti na ving'ora ndio uhalali wa kutawala. Hakuna uongozi ulioingia katika mazingira ya kukosa uhalali (illegitimacy) kama huu wa Samia. Sasa ili wawe na uhalali wanataka kuishi kwa risasi. Cha kuudhi ni kuwa badala ya kuwalaumu walioua watu wanawalaumu watoto na vijana walioandamana kuipinga serikali.
 
Magufuli alivyoua na kukandamiza watu ulifurahia sana!! Huna moral ethics za kuzungumzia tena haya mzee mpumbavu!!
ungetolea mfano wa hili basi angalau ungekuwa na uhalali wa kuninyoshea kidole. Kama unahalalisha mauaji ya sasa kwa sababu Magufuli "aliua" sijui unawezejaje. Sikumbuki wakati wowote serikali ya Magufuli ilimwaga risasi mitaani, kubaka na kulawiti watoto wetu, na kurundika miili katika mahospitali. Nasubiri unitafutie angalau kavideo kamoja kama polisi wakati wa Magufuli wakimwaga risasi mitaani hadi kwenye majumba ya watu. Nakaa nasubiria.
 
Serikali ina makosa pia na wameshakiri wenyewe wamekosea

Tuwape room ya kujirekebisha na kutenda yale waliyoahidi.Tunachotaka kukifanya sisi ni kumporomoshea matusi mtu unayemdai akiwa amechelewa kurejesha na pesa akiwa bado kaishika mkononi mwake anaweza akaamua kuondoka nayo na asikulipe tena

Hizo habari za dunia kuangalia ndo zinawapoteza vijana kwanini tukariri njia moja tu ya kupambana na hawa madhalimu njia ambayo tumeona madhara yake

Njia ambayo tumeona wanachi wengi hawajaiunga mkono ndo maana tumeona misururu ya watu wakiondoka Dar kwenda vijijini

Kwenda barabarani na jiwe huku mwenzako akiwa na bunduki inaonesha jinsi gani tuna akili finyu

Kushawishiwa na kakikundi cha watu wachache hasa wanafahamika wa chama fulani waliopo nje ya nchi kuingia barabarani halafu wao wakichungulia kwenye computer zao kinachoendelea ni upumbavu

Tunawapenda ndugu zetu bado tunatamani kuwa nao na ndio maana hatutaki kuwapoteza hata Sativa hatamani kufa ndiyo maana badala ya kujeruhiwa na risasi akakimbia nchi kabisa ila eti anawashauri wale waliopona October 29 nao waende tena huku yeye akiwa nje ya nchi 😅🥲 inafurahisha na kuumiza sana
Walikiri kukosea wapi? Labda miye nilimiss.
 
ungetolea mfano wa hili basi angalau ungekuwa na uhalali wa kuninyoshea kidole. Kama unahalalisha mauaji ya sasa kwa sababu Magufuli "aliua" sijui unawezejaje. Sikumbuki wakati wowote serikali ya Magufuli ilimwaga risasi mitaani, kubaka na kulawiti watoto wetu, na kurundika miili katika mahospitali. Nasubiri unitafutie angalau kavideo kamoja kama polisi wakati wa Magufuli wakimwaga risasi mitaani hadi kwenye majumba ya watu. Nakaa nasubiria.
Lissu alirushiwa Risasi na Samia? Mzee mjinga
 
Serikali ina makosa pia na wameshakiri wenyewe wamekosea

Tuwape room ya kujirekebisha na kutenda yale waliyoahidi.Tunachotaka kukifanya sisi ni kumporomoshea matusi mtu unayemdai akiwa amechelewa kurejesha na pesa akiwa bado kaishika mkononi mwake anaweza akaamua kuondoka nayo na asikulipe tena

Hizo habari za dunia kuangalia ndo zinawapoteza vijana kwanini tukariri njia moja tu ya kupambana na hawa madhalimu njia ambayo tumeona madhara yake

Njia ambayo tumeona wanachi wengi hawajaiunga mkono ndo maana tumeona misururu ya watu wakiondoka Dar kwenda vijijini

Kwenda barabarani na jiwe huku mwenzako akiwa na bunduki inaonesha jinsi gani tuna akili finyu

Kushawishiwa na kakikundi cha watu wachache hasa wanafahamika wa chama fulani waliopo nje ya nchi kuingia barabarani halafu wao wakichungulia kwenye computer zao kinachoendelea ni upumbavu

Tunawapenda ndugu zetu bado tunatamani kuwa nao na ndio maana hatutaki kuwapoteza hata Sativa hatamani kufa ndiyo maana badala ya kujeruhiwa na risasi akakimbia nchi kabisa ila eti anawashauri wale waliopona October 29 nao waende tena huku yeye akiwa nje ya nchi 😅🥲 inafurahisha na kuumiza sana
Serikali Gani mkuu iliyokiri kuwa imefanya kosa kuwauwa watoto na wazazi wetu, au unaongelea serikali iliyongea na wazee juzi na kujinasibu kuwa ilitumika nguvu nzuri kuwauwa watoto wetu ili kulinda utawala wake?

Au unaongelea serikali ile iliyokataa kutambua ni watanganyika wangapi wamekufa ila inataka kutambua idadi ya miundombinu iliyoharibiwa na waandamanaji ?

Pengine labda unaongelea ile serikali iyoyaambia mabeberu tumeuwa watu wetu hatujauwa watu wenu ,who are you?

Na huenda unaongelea serikali ile iliyosema" ndio tumewauwa na kuwajeruhi watu wenu"na baadae kudai kuwa kwanini hamkuwazuia watoto wenu wasiende kuandamana wakati wengi ya waliouwa walifuatwa majumbani?


Mimi nadhani unamaanisha serikali ile iliyochoma miili ya watoto wetu na wengine kuzikwa kwenye makbaburi ya haraiki?

Haijaisha hadi iishe, mwambie Samia haramaliza miaka yake mitano,
 
Naam

Nadhani unafahamu kitakachokwenda kutokea kwahiyo ilikuwa ni busara kuja na njia mbadala ya kusuluhisha haya mambo ili yaweze kuisha

Kutunishiana misuli kwa kuwaweka chambo watoto wa masikini mnakosea sana na hakika mtakuja kulipa hili

Kifo hakijawahi kuwa suluhisho la tatizo lolote watu tunaoshindana nao hatuwawezi kwa namna yoyote

Kila mwananchi anaelewa system ya Government ilivyo so haina haja ya kila dakika kuanzisha mathread ya kuchochea maaandamano

Hii inaonesha kwamba kuna watu ni wanufaika wakubwa wa haya maandamano, kuna watu ndo wanapopatia ugali wao that's why hawataki option nyingine yoyote zaidi ya hii waliyoichagua

Watanzania inatakiwa tuamke sio kila jambo ni la kubeba tu kama matahira tunashindwa hadi na kunguru ambaye akiona umeshika manati atakimbia eneo hilo kwa sababu anajua madhara yake

Kumshawishi raia masikini aende barabarani akiwa hana silaha yoyote ya moto huku mkijua kabisa atakachoenda kukutana nacho ni dhambi moja kubwa sana na hakika mtaenda kuchomwa motoni

Hao kina Hilda na Maria Sarungi wanashindwa nini kutoka Kenya huko kuja kuungana na wenzao huku kupamabania nchi yao.Wao ndo wanajiita mashujaa wa keyboard na kuna nyumbu za Tanzania zinaingia kweli barabarani aisee

Boniface Mwangi mwanaharakati maarufu Kenya kipindi cha maandamano ya Gen Z wa Kenya wala yeye hakuhamasisha akiwa Uganda au Tanzania bali alikuwa palepale Kenya na siku ya maandamano alikuwa front vile ndo inatakiwa

Kuna yule Aunt Lulu kabla ya kukengeuka alishawahi kukiri kuwa analipwa Milioni mbili kwa mwezi na Sativa kwa ajili ya kupost harakati tu hii inaonesha kuna pesa wanapata kupitia hayo mambo

Tunaizika nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe
Dunia inawatu wapumbavu hii,kabla ya uchafuzi wenye akili walijitokeza kuiomba serekal haramu ikae na watu tuongee ili nchi isichafuke,saivi nchi ishachafuka unakuja na porojo zako watu waongee,basi tuambie ww hii serekali haramu itakaa na nani iongee nae.
 
Back
Top Bottom