Hata yule Mbunge Dokta Mwakyembe aliyeliingiza Taifa kwenye deni la Dowans kwa baraka za Sitta, aliwahi kusema katumiwa Al Shabab wamuuwe!
Hayo ndio wewe umeyasikia, ungekuwa jikoni na kusikia kila wanachokisikia wanausalama usingeishi hapa duniani, ungetafuta sayari ya kwenda kuishi.