We Condemn: Calling for A National Day of Mourning

Hakuna mahali demokrasi inapofundisha watu wavunj sheria. Demokrasi gani iliyokuwa hakuna Tanzania?

Wamevunja sheria viongozi wa Chadema na hawa Raia masikini ya Mungu wameuliwa kwa kufata mkumbo, leo hii hata Chadema wawe ndio wanaongoza nchi hii, watawasaidia nini hawa raia? au Chadema wana miujiza ipi ya kuwarudishia roho zao hawa raia wanao wadanganya?

Watu kama wewe ni hatari sana katika jamii,huwa mnaandika bila kujuwa wala kufikiri,mradi ukae kwenye keyboard ukandamize utumbo wowote unaokujia kichwani baada ya kupata majani.
Roho zetu tumeshaziweka rehani kwa ajili ya uhuru wetu. Ni afadhali nife nikitafuta haki yangu kuliko haki yangu kufa na mimi! Tsunami ijayo wataiweza?
Nilisoma kitabu kimoja kikieleza true stori ya mtu mmoja katika nchi fulani ambaye baada ya manyanyaso makubwa ya polisi aliamua kutangaza vita na mapolisi wote regardless ni nani. Na kwa kweli aliwashughulikia kweli kabla ya yeye binafsi ku give up! Nimeelewa kwa nini alichukua maamuzi magumu kama yale, na namtayaarishia tuzo!
 
Hakuna mahali demokrasi inapofundisha watu wavunj sheria.

Police are supposed kuoffer protection.... na sio annihilation hivi did I get you correctly au una justify the use of brutal force in so far as people loosing their lives.... Chadema had white flags.... Do this produce Bullets...., hata kama watu walifanya fujo can you justify kutumia risasi za moto?... Ngoja nijiondokee hapa kujibu maswali yako ni kujiongezea stress za bure...
 
Mchungaji Slaa na wenzake lazima wawe prscuted kwa kupinga order ya police na kusababisha vifo vya innocent civilians pia waadhibiwe kwa kwa kuvunja public order

Hawa chadema ni hatari sana tulisema siku nyingi hapa jf, nichama kinaongozwa na vilaza wasiokuwa na uzoefu wowote wa kuongoza hata idara ya kijiji


Chadema isipo dhibitiwa mapema italeta majanga zaidi hapa nchini, Jiulize kwa nini maandamano yamefanyiwa Arusha ? huko ndo kuna kabila la chama chao na makanisa yanyo endeshwa kwa tamaa na papara za kuingia Ikulu.

Chadema ni sawa na cancer lazima idhibitiwe
 
Mawazo yako ni duni, hawa raia wameuliwa (Mungu awalaze apendapo), kwa kusikiliza maneno ya viongozi wao, hususan maneno ya Silaa.

Kumbuka hawajapatwa maafa wakigombania matakwa ya wengi (majority).

Chadema (viongozi) wamekiuka amri ya polisi iliyowata wasifanye maandamano, wao waka kaidi na kuanzisha maandamano. Halfu leo unalete utumbo wa kusema iwe mourning day ya Taifa? Taifa lipi hilo? wewe ungekuwa na uchungu sana na taifa hili usingekimbia shida na dhiki za hapa nyumbani kwenda Merekani halafu unatuma viujumbe vyako vya uchokozi kila siku. Nini kinachokufanya usikae hapa na kuingia kwenye maandamano kama hao mnaowarubuni?

Kama ni rahisi ungeishi hapa na si kutokomea huko merekani na kutuletea fitna zako kila kukicha.

Unaona gele na Mimacho yako balbu.
Kilichokufanya na wewe ushindwe kuiishi Marekani ni Ukata,baada ya kupata fedha ya ufisadi ulienda baru ubalozini Interview ya Viza ulibuma pale Ubalozini

Bisha?
Watu wanaishi Marekani kama kuishi popote pale wapendapo,na hujimwaga Bongo pale LOHO yao ikipenda.
Sasa Mbona RiMwema bin Katili na RiNahodha la mtumbwi yamekubari yaishe kwa kuzoza mezani???
Harafu wewe bado unaendelea kusimamisha??

Wamedinda weee sasa imenywea imerudi!! Cha mtoto!
 
Mimi pia tatizo langu ni hawa Polisi kuwakamata viongozi wetu na kuwalaza selo.Hivi kweli wameshindwa kuwa na busara hata kidogo?Hivi wangekuwa ni viongozi wa CCM wangewakamata na kuwaweka selo?IGP,Andengenye mngefanya hivi kweli?Hivi kweli upolisi ni kutumia nguvu tu,hakuna kutumia akili?Mmelidhalilisha jeshi la polisi.Mbona mataifa yaliyoendelea hayafanyi hivi?hivi polisi maana yake nini?
 
Mchungaji Slaa na wenzake lazima wawe prscuted kwa kupinga order ya police na kusababisha vifo vya innocent civilians pia waadhibiwe kwa kwa kuvunja public order

"Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something".

Plato..
 
Mawazo yako ni duni, hawa raia wameuliwa (Mungu awalaze apendapo), kwa kusikiliza maneno ya viongozi wao, hususan maneno ya Silaa.

Kumbuka hawajapatwa maafa wakigombania matakwa ya wengi (majority).

Chadema (viongozi) wamekiuka amri ya polisi iliyowata wasifanye maandamano, wao waka kaidi na kuanzisha maandamano. Halfu leo unalete utumbo wa kusema iwe mourning day ya Taifa? Taifa lipi hilo? wewe ungekuwa na uchungu sana na taifa hili usingekimbia shida na dhiki za hapa nyumbani kwenda Merekani halafu unatuma viujumbe vyako vya uchokozi kila siku. Nini kinachokufanya usikae hapa na kuingia kwenye maandamano kama hao mnaowarubuni?

Kama ni rahisi ungeishi hapa na si kutokomea huko merekani na kutuletea fitna zako kila kukicha.


I don't like name calling, but spare me on this. I strong believe your either lunatic or mental challenged. Where in Tanzania constitution condemned peaceful demonstration? IGP and RPO are suppose to issue permit for people to demonstrate peaceful and accordingly, otherwise they can consult these people to do otherwise if and only if the motive will interfere several business manner. Neither Mwema nor JK can pop the mouth and canceled any peaceful demonstration without providing any supporting evidence behind the motive.
I think it's total immoral and idiotic for any individual to support any revocation of constitution right. No one should die for the sake of demonstration, this people were unarmed, they never went to any train. TPF has adopt this custom for years now, the custom of killing other for the reason of keeping the peace.
Please spare the argument for the next time if you don't have the clue on what is going on in Tanzania.
 
Ifike mahali Serikali ya chama cha mapinduzi iombe radhi kwa kuwa mzigo kwa wana wema wa nchi hii..wameuza sehemu ya nchi yetu,tumekaa kimya,wamgawana rasilimali zetu tumekaa kimya,tumetumia demokrasia kuwakataa bado wameng'ang'ania...wanatumia vibaya madaraka waliyojipa na sasa wanatumia vibaya vyombo vya dola kuweka rehani roho za masikini wasio na hatia! Siku za anguko kuu zinahesabika..
 
Polisi Tanzania na duniani kote ndio wanalinda wananchi wake na wanauwezo kusimamisha safari ya mtu yoyote na hata raisi wa nchi, sasa mkianza kuvunja amri za polisi kama wanvyofanya wakina Slaa je itakuwa tunaishi nchi ya namna gani ?

Naamini kabisa polisi hapa nchini walisharuhusu maadamano mengi lakini ni tabia mbovu na jazba na uchu wa madara ya wakina Slaa na wenzake ndio wanaosababisha vifo kama hivi hapa nchi I bet wata face conciquences
 
Polisi Tanzania na duniani kote ndio wanalinda wananchi wake na wanauwezo kusimamisha safari ya mtu yoyote na hata raisi wa nchi, sasa mkianza kuvunja amri za polisi kama wanvyofanya wakina Slaa je itakuwa tunaishi nchi ya namna gani ?

Naamini kabisa polisi hapa nchini walisharuhusu maadamano mengi lakini ni tabia mbovu na jazba na uchu wa madara ya wakina Slaa na wenzake ndio wanaosababisha vifo kama hivi hapa nchi I bet wata face conciquences

kua askari sio kibali cha kutumia nguvu tu pasipo kufikiri, tuone nguvu ya umma na mitutu yao ni kipi zaidi...hawawezi kuua wote! Akifa mwanaharakati mmoja wanazaliwa 1000! Nilipo-bold tafakari...
 
Katika nchi ya kidemokrasia neno la Polisi si la mwisho. Polisi hawawezi kutoa amri tu kwa vile ni polisi na wananchi watii tu kama is unreasonable and immoral. Polisi hawakuwa na sababu ya kusitisha maandamano hayo. Walisitisha kwa sababu wao "ni polisi" na si kwa sababu kulikuwa na sababu ya kuyasitisha. Mtu mwenye dhamira safi hakupaswa kutii maana tukikubali tu kuwa polisi wakiamuru chochote kwa vile wao wani polisi basi watu wakubali maana yake tunauza uhuru wetu na haki yetu ya kupinga.

point....chukua tano!!
hichi kitu ni ngumu kuelewa kwa watu ambao wamebanwa kimawazo na elimu ya ccm
 
Hapa cha msingi ni kuwafungulia mashtaka IGP na wengineo pia kuunda kamati ya Bunge kama watashindwa kujiuzulu. Huu ni uzembe wa wazi na kamati za Raisi hatuzitaki tena. IGP hana sifa tena ya kuongoza na Kikwete sasa ameona mbuzi wake wa kafara wametolewa. Yani inasikitisha sana kuwatandika risasi watu wanaotembea kwa miguu. Kuna haja ya sisi sote kuungana na kuitaka Tanzania iimarike
 
Mimi pia tatizo langu ni hawa Polisi kuwakamata viongozi wetu na kuwalaza selo.Hivi kweli wameshindwa kuwa na busara hata kidogo?Hivi wangekuwa ni viongozi wa CCM wangewakamata na kuwaweka selo?IGP,Andengenye mngefanya hivi kweli?Hivi kweli upolisi ni kutumia nguvu tu,hakuna kutumia akili?Mmelidhalilisha jeshi la polisi.Mbona mataifa yaliyoendelea hayafanyi hivi?hivi polisi maana yake nini?

Regia
Kama kiongozi onyesha heshima na kuwajali waliopoteza maisha yao, nini kuwekwa selo?
 
kwa nn viongozi w serikali wanashindwa japo ku pretend wana akili kwa siku chache na kucheza ngoma wananchhi wanayotaka wacheze.
 
Hakuna mahali demokrasi inapofundisha watu wavunj sheria. Demokrasi gani iliyokuwa hakuna Tanzania?

Wamevunja sheria viongozi wa Chadema na hawa Raia masikini ya Mungu wameuliwa kwa kufata mkumbo, leo hii hata Chadema wawe ndio wanaongoza nchi hii, watawasaidia nini hawa raia? au Chadema wana miujiza ipi ya kuwarudishia roho zao hawa raia wanao wadanganya?

Watu kama wewe ni hatari sana katika jamii,huwa mnaandika bila kujuwa wala kufikiri,mradi ukae kwenye keyboard ukandamize utumbo wowote unaokujia kichwani baada ya kupata majani.

Kama wamepewa kibali cha mkutano ( Japo kisheria hawahitaji kibali) Je waende kwenye huo mkutano kwa Helkopta ili wasijeonekana wameandamana?
Kama katiba ikisema jambo na kiongozi akasema jingine ni mamlaka ipi iliyo kuu?
Kama polisi na CCM wanafuata na kuheshimu utawala wa sheria, je sheria inasemaje kuhusu haki ya kukusanyika?
Kabla ya Polisi kuingilia maandamano mbona hapakutokea vurugu yoyote?
 
Kwa IGP kutangaza ati Maandamano yasiwepo lakini mkutano uendelee kama kawaida inaleta ushawishi kuwa huyu IGP hana uwezo wa kufikiri na hana taadhima na busara. Mkutano uwepo, utahudhuriwa na watu, je hawa watu watakwendaje kwenye mkutano na kutumia njia gani? Kwa kutembea au kwa magari, baiskeli au la mmoj mmoja au makundi?

La pili, ambalo linafuta kabisa uhalali wa IGP na polisi statement zote ni kuwa kama Raia hawakufanya fujo kabla polisi ya kuanza kuwapiga, je ni uhalali gani wa kulinda amani, wakati mlinzi wa amani anaanzisha fujo kwa kupiga watu. Logic ni kuwa polisi walizuia maandamano yasifanyike kwa sababu ya "intelligensia" kutatokea fujo. Vijana hawakuleta fujo, lakini polisi walileta fujo kabla hata vijana hawajaleta fujo.

La tatu, kama mie ni mlinzi wa amani I must know my clients, to whom I am rendering these services. Polisi si ubabe tu, bali na akili vile vile itumike. Kama IGP na Polisi wangekuwa karibu na vyama vyote, wangewajua vema wateja wao, wananchi vyama vya siasa nk. Kwenye real polls Dr. Slaa anakubalika na WaTanzania zaidi ya 50% meaning that Dr. Slaa ni among the biggest clients of peace in this country. Polisi lazima wawe na "dialogues" na such people and political parties. Hawa polisi hata Baada ya mandamano kwisha kwa amani wangekuwa na wakati mzuri zaidi kuongea zaidi na DR Slaa na Chadema kuhusu future peace. Polisi Hawaawezi tu kufanya kazi za CCM muda wote. They are not the sole clients of peace of this country, they are part of it.

This sitting president has proved failure, and must be condemned, anaharibu nchi socially, politically and economically, nchi yetu imekwisha otherwise vijana simameni msiogope!
 
Mawazo yako ni duni, hawa raia wameuliwa (Mungu awalaze apendapo), kwa kusikiliza maneno ya viongozi wao, hususan maneno ya Silaa.

Kumbuka hawajapatwa maafa wakigombania matakwa ya wengi (majority).

Chadema (viongozi) wamekiuka amri ya polisi iliyowata wasifanye maandamano, wao waka kaidi na kuanzisha maandamano. Halfu leo unalete utumbo wa kusema iwe mourning day ya Taifa? Taifa lipi hilo? wewe ungekuwa na uchungu sana na taifa hili usingekimbia shida na dhiki za hapa nyumbani kwenda Merekani halafu unatuma viujumbe vyako vya uchokozi kila siku. Nini kinachokufanya usikae hapa na kuingia kwenye maandamano kama hao mnaowarubuni?

Kama ni rahisi ungeishi hapa na si kutokomea huko merekani na kutuletea fitna zako kila kukicha.

Huyu Zomba ni gay wa wapi ? nakuhurumimia kwa kukubali kutumikishwa kinyume cha maumbile yako!!! kumbuka uliumbwa na kuwekwa moyo wa nyama kama sisi. Nakuhurumia kwa kutumika unavyotumikishwa.
 
Back
Top Bottom