Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Waziri wa Ulinzi wa USA ameiomba nchi ya Korea Kaskazini wakae chini na waongee, kwamba wao siyo maadui!
Wakati Watanzania tunatishana na kuogopeshana kwamba tusipompa Mzungu Rasilimali zetu basi tutanyolewa bila maji, wengine wanatuambia Mzungu ana Makomandoo kwenye Kampuni zake tutapigwa, hlf tunategemea kuheshimiwa Dunia hii, hlf huyo anayesema hivyo ndiyo anasifiwa kwamba ni intelligent man na anafaa kuwa Raisi wa JMTZ!
Kwa kumbukumbu tu, Nchi ya Korea Kaskazini ina wakazi milioni 25 tu wkt TZ yetu tuko zaidi ya Milioni 45, nchi ya Korea Kaskazini ina km za mraba 120 000 (laki moja na ishirini elfu tu) wakati TZ yetu tuna km za mraba zaidi ya Laki tisa, hapo hapo nchi ya Korea hairuhusiwi kufanya biashara kwa uhuru Duniani, imewekewa vikwazo karibia kila mahali sisi tunaweza kufanya biashara na yoyote yule, Wakorea hawasomi wala hawajui English lkn ni nuclear power sisi tunajifunza Kiingereza maisha yetu yote kwanza hkn kingine tunachofanya Shuleni zaidi ya kujifunza lugha ya Muzungu lkn bado ndiyo Binadamu tunaodharauliwa na Muzungu klk wote!
Wakati Watanzania tunatishana na kuogopeshana kwamba tusipompa Mzungu Rasilimali zetu basi tutanyolewa bila maji, wengine wanatuambia Mzungu ana Makomandoo kwenye Kampuni zake tutapigwa, hlf tunategemea kuheshimiwa Dunia hii, hlf huyo anayesema hivyo ndiyo anasifiwa kwamba ni intelligent man na anafaa kuwa Raisi wa JMTZ!
Kwa kumbukumbu tu, Nchi ya Korea Kaskazini ina wakazi milioni 25 tu wkt TZ yetu tuko zaidi ya Milioni 45, nchi ya Korea Kaskazini ina km za mraba 120 000 (laki moja na ishirini elfu tu) wakati TZ yetu tuna km za mraba zaidi ya Laki tisa, hapo hapo nchi ya Korea hairuhusiwi kufanya biashara kwa uhuru Duniani, imewekewa vikwazo karibia kila mahali sisi tunaweza kufanya biashara na yoyote yule, Wakorea hawasomi wala hawajui English lkn ni nuclear power sisi tunajifunza Kiingereza maisha yetu yote kwanza hkn kingine tunachofanya Shuleni zaidi ya kujifunza lugha ya Muzungu lkn bado ndiyo Binadamu tunaodharauliwa na Muzungu klk wote!