Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 5,140
- 9,430
This needs restructuring, Na debate na kufikia muafaka , kama tunavyodai katiba mpya, Taasisi ya familia /ndoa inahitaji restructuringHawa v
iumbe wanakula raha sana kwenye haya maisha
Wepesi na ugumu wa maisha wanachagua mwenza, mapato na mali zote wao ndio warithi wasiotengeneza hizo mali, kila anachopata baba kinaenda kwa mwanamke, yeye hutumia kujilemba, kujivalisha, kunenepa na bado hana sympathy kwa maumivu y mume. Ni mchoyo wa mali zake.
Men have the sacrificial role and toughest life lisilo na faida kwake baali kwa mke na watoto.
Nataka nimuonesha kazi tu babi.Wewe!
Wewe ndo umemchokoza.Nataka nimuonesha kazi tu babi.
Analidharau sana dyudyu langu, nataka tu nimpe adhabu.
Haya, nimeacha. 🥲Wewe ndo umemchokoza.
Acha uchokozi bhana.
Kwanini Taasisi ya Familia Inahitaji Restructuring?This needs restructuring, Na debate na kufikia muafaka , kama tunavyodai katiba mpya, Taasisi ya familia /ndoa inahitaji restructuring
Hakika ndo misingi ya nature hiyooHawa v
iumbe wanakula raha sana kwenye haya maisha
Wepesi na ugumu wa maisha wanachagua mwenza, mapato na mali zote wao ndio warithi wasiotengeneza hizo mali, kila anachopata baba kinaenda kwa mwanamke, yeye hutumia kujilemba, kujivalisha, kunenepa na bado hana sympathy kwa maumivu y mume. Ni mchoyo wa mali zake.
Men have the sacrificial role and toughest life lisilo na faida kwake baali kwa mke na watoto.
Hiyo ni programmingUnajua nini…. Mwanaume akikupenda wala sio mtu mbaya. Kinyume chake hapo… We have seen what they are capable of doing.
Bandiko zuri, i hate when people don’t acknowledge each other.
Kuna mjadala nilifuatilia mahali kuhusu wanawake na kuzaa, Wanaume “baadhi “ walikuwa wanacomment hivi… viumbe vyote vya kike vinazaa, what’s a big deal kuhusu mwanamke kuzaa? Uwiii niliogopaaa! 😔
Like kuzaa ni karibu na uumbaji, how can someone be-little this experience?
Empathetic traits ndani yako bado haijafa no matter what life throws at you.Hiyo ni programming
Lakini pia wanawake wanapenda kuona kisa wao wanazaa basi wanaume ni viumbe vilivyo pendelewa kumbe anakazibkubwa sana ya provision and protection
Hao wanaojibu hivyo mara nyingi huwa wako ego centered.
Binafsi huwa nikifikiria the whole process hata kama nilikuwa namchukia mwanamke kwa sababu ya tabia nitaiweka pembeni kwa muda
Yes mkuu.Umeongea vizuri sana mkuu
Ila Kama ukisha jua ins and outs za hayo yotee. Unaweza kuwa na compassion kwao kujua where they're coming from... Also not being consumed by their negativity
Pole sana kwa kukulia katika hayo mazingira. Inatia uchungu sana..
Just forgive ukitambua it's mostly not them but societal and egoic conditions zinawasumbua
Upo ssahihiNi kweli ila ni kheri usimzalishe kabisa maana anayekuja kuumia ni yeye na kizazi chako ulicho kikimbia