Wazungu wanawaharibu dada, mama zetu

Wazungu wanawaharibu dada, mama zetu

Hivi huwa zinakuwa na joto tamu kama la meat kwa meat kweli!
Huwa zina rechargable battery kwa ajili ya vibration
13BA61-3.jpg
 
Yaani serikali iache kujenga shule, hospitali, barabara, kukamata mafisadi na majizi ikapambane na toys?
 
Yaani serikali iache kujenga shule, hospitali, barabara, kukamata mafisadi na majizi ikapambane na toys?
serikali ipo kwa ajili ya wananchi wake kwahiyo usitake kuleta ujinga wako.
 
ndiyo nzuri inaepusha maambukizi ya ukimwi.

teh teh teh
izo ndizo zinazochochea maambukizi ya HIV/AIDS kwan kwa wengi wakitumia haiwakidhi haja zao bali kuwachizisha zaidi na kuwafanya wasikumbuke ukimwi tena hivyo anayekuja twendee!
kwann tusirejee ktk maumbile halali Mungu aliyetujaalia;!
Oleweni acheni upuuzi!
 
Wanaume wenyewe wanakula slesi mbili na chai,mchana chips yai,jioni viroba unategemea wanawake wataridhikaje,bora wajiselfishe tu.
 
Dunia kweli imeisha naamini hilo jana mida ya saa 8:30 maeneo nayofanyakazi(banda la ngozi) pale kaja jamaa na toy ambayo zinatumika kaufanyia masterbution.

ila kwa mara ya kwanza sikuijua nini baadae mshakaji ndiyo akatuelezea matumizi yake kwa kweli nimepatwa na butwaa .

nachukua fursa hii kuiomba serikali kupiga marufuku huu upumbavu kabla haujaenea coz maadili yanazidi kumomonyoka.


*wasalaaam*
Ishauri serekali iruhusu ili madume suruali.vp kiongozi kuchoki kuhonga?hahaha
 
izo ndizo zinazochochea maambukizi ya HIV/AIDS kwan kwa wengi wakitumia haiwakidhi haja zao bali kuwachizisha zaidi na kuwafanya wasikumbuke ukimwi tena hivyo anayekuja twendee!
kwann tusirejee ktk maumbile halali Mungu aliyetujaalia;!
Oleweni acheni upuuzi!
usipanic broo..........washauri na wenzako waache punyeto....
 
Dunia kweli imeisha naamini hilo jana mida ya saa 8:30 maeneo nayofanyakazi(banda la ngozi) pale kaja jamaa na toy ambayo zinatumika kaufanyia masterbution.

ila kwa mara ya kwanza sikuijua nini baadae mshakaji ndiyo akatuelezea matumizi yake kwa kweli nimepatwa na butwaa .

nachukua fursa hii kuiomba serikali kupiga marufuku huu upumbavu kabla haujaenea coz maadili yanazidi kumomonyoka.


*wasalaaam*
naweza pata wapi hizi mi mwenyewe nataka
 
Dunia kweli imeisha naamini hilo jana mida ya saa 8:30 maeneo nayofanyakazi(banda la ngozi) pale kaja jamaa na toy ambayo zinatumika kaufanyia masterbution.

ila kwa mara ya kwanza sikuijua nini baadae mshakaji ndiyo akatuelezea matumizi yake kwa kweli nimepatwa na butwaa .

nachukua fursa hii kuiomba serikali kupiga marufuku huu upumbavu kabla haujaenea coz maadili yanazidi kumomonyoka.


*wasalaaam*
1.Unafikiri hayo matoi ndo yanasababisha punyeto? au yasipo kuwapo pia punyeto haitakuwapo? Kuna madhara ya jumla kwa jamii na madhara ya mtu moja mmoja.
2.Japo siungi mkono ushenzi huu, mi naona madhara ya mtu kwa toi yana nafuu kuluko ya mtu kwa mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom