Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,679
- 5,165
Dunia kweli imeisha naamini hilo jana mida ya saa 8:30 maeneo ninayofanya kazi (banda la ngozi) pale kaja jamaa na toy ambayo zinatumika kufanyia masturbation.
Ila kwa mara ya kwanza sikuijua nini baadae mshakaji ndiyo akatuelezea matumizi yake kwa kweli nimepatwa na butwaa.
Nachukua fursa hii kuiomba serikali kupiga marufuku huu upumbavu kabla haujaenea coz maadili yanazidi kumomonyoka.
Wasalaam!
Ila kwa mara ya kwanza sikuijua nini baadae mshakaji ndiyo akatuelezea matumizi yake kwa kweli nimepatwa na butwaa.
Nachukua fursa hii kuiomba serikali kupiga marufuku huu upumbavu kabla haujaenea coz maadili yanazidi kumomonyoka.
Wasalaam!