Wazungu wanaupendo kuliko waafrika ...

Wazungu wanaupendo kuliko waafrika ...

Maria Nyamhanga

Senior Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
130
Reaction score
25
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?
 
Mmhh umefanya research kwanza mpaka ukaongea hivyo? Kucheat hakuna cha mzungu wala mwafrika,wote wanafanya the same.Nadhani hii kitu commitment ni personal zaidi na sio ya kufanya generalisation.
 
Kila mtu anaupendo wake.
Sio kwamba wazungu ndo wanajua kupenda sana bali kila mtu kwa ujuzi ake na jinsi awezavyo kujiexpress kwa mwenzake.
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?

si kweli.. Natalia on board!
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?
hapo kwenye RED umejielewa? maana mimi umenichanganya tu.....
kama anakupenda kwa dhati inakuwaje tena iwe hakupendi?
 
kama una dstv angalia kipindi kinaitwa cheaters one wazungu kama wanawaambiaba wapenzi wao kuwa hawapendi tena
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?
.Na mimi nasikia kwamba wanawake wa kizungu nao wanawapenda sana wanaume wa kibantu kwa gwaride.
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?

dada angalia unavyoandika hii thread tupo watu tunaoishi na wazunngu huku nje,unachoongea sio kweli ni ideology ambayo watu wanajijengea watu wote tupo sawa . suala la kucheat au kutocheat ni suala linalotokana na mila nadestury ,ukiniambia wahindi hapo nitakubali mzungu, kumbuka unavyosema mzungu wapo hata makaburu,warusi, west Uropu na East Uropu wote ni wazungu,wapo wafaransa ambao ndiyo wanaongoza kwa ufuksa Duniani. sasa naomba utupe Reaserch yako .
 
dada angalia unavyoandika hii thread tupo watu tunaoishi na wazunngu huku nje,unachoongea sio kweli ni ideology ambayo watu wanajijengea watu wote tupo sawa . suala la kucheat au kutocheat ni suala linalotokana na mila nadestury ,ukiniambia wahindi hapo nitakubali mzungu, kumbuka unavyosema mzungu wapo hata makaburu,warusi, west Uropu na East Uropu wote ni wazungu,wapo wafaransa ambao ndiyo wanaongoza kwa ufuksa Duniani. sasa naomba utupe Reaserch yako .



Ndiyo maana nimeuliza
 
hapo kwenye RED umejielewa? maana mimi umenichanganya tu.....
kama anakupenda kwa dhati inakuwaje tena iwe hakupendi?

Inamaana kama ameamua kukuoa tu ila hakupendi atakuambia ukweli.. yani ni wawazi pia.
 
dada angalia unavyoandika hii thread tupo watu tunaoishi na wazunngu huku nje,unachoongea sio kweli ni ideology ambayo watu wanajijengea watu wote tupo sawa . suala la kucheat au kutocheat ni suala linalotokana na mila nadestury ,ukiniambia wahindi hapo nitakubali mzungu, kumbuka unavyosema mzungu wapo hata makaburu,warusi, west Uropu na East Uropu wote ni wazungu,wapo wafaransa ambao ndiyo wanaongoza kwa ufuksa Duniani. sasa naomba utupe Reaserch yako .

Broo hata Wahindi ilikuwa zamani ila sasa hivi nao wamechukuliwa na mafuriko ya cheating
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?

Hata MANGE analijua hilo.....kajaribu....then utuletee jibu hapa
 
Back
Top Bottom