ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 398
- 1,398
Kila siku najiuliza kwanini tunapenda kuwalaumu western countries hasa USA wakati wezi ni wa Hindi, waChina, Wa Arab.
Nchi za ki Africa zimejaa wa Hindi, waChina na wa Arab.
Huwezi kuona sana Wazungu wakiwekeza Africa. Wazungu wamewekeza Asia, Latin America lakini Sisi kila siku tunasema wazungu wanatuibia
Nchi za ki Africa zimejaa wa Hindi, waChina na wa Arab.
Huwezi kuona sana Wazungu wakiwekeza Africa. Wazungu wamewekeza Asia, Latin America lakini Sisi kila siku tunasema wazungu wanatuibia