Dunia ya leo kumdanganya mtu kwa flyover nayo yataka moyo, ajira hakuna, mishahara watumishi wanalia, biashara zinakufa bado huyu jamaa analeta porojo utawaeleza nini watanzania waliopotelewa na ndugu zao kwa ugonjwa wa corona ambao jina umebadilika ukaitwa changamoto ya upumuaji, maana ya changamoto ni kitu ambacho hua kinaweza kutatuliwa na hata kisipotatuliwa hakina madhara sana, corona sio changamoto ni tatizo na ndio maana linaacha madhara makubwa sana