Wazungu wanajua kuwa Tanzania sasa inae Rais sahihi

Rudi katika uhalisia katazame maisha ya watanzania wakaida na hali zao kiuchumi halafu ndio useme ubora wa kiongozi huyu tuliye nae
Juzi nilikwenda kijijini kutembelea ndugu na jamaa zangu, kila unapopita wanalia hawana pesa. Mimi nikawauliza kule mjini wanapenda ndizi, kuku, mbuzi, choroko, malimao na ndimu, machungwa, bata, mahindi na hata mihogo. Ni nani anavyo nimsaidie kuvibeba kwenye gari langu bure aende akauze mjini? Kati ya wale wanaolalamika hakukuwa na mwenye hata kuku 5, wala mbuzi, wala ng'ombe, wala ndimu wala sungura waliokosa mnunuaji. Nikawauliza mnalalamika nini na kumlalamikia nani? Mbona hamna kitu cha kuuza mpate pesa?

Wao wanalalamika tu maisha magumu
 
Kama angekuwa amekosea kwenye kupambana na corona basi ungetuonyesha ni Rais gani alipatia kwenye kupambana na corona ambaye watu wake hawakufa kwa covid 19. Hizo ni porojo tu kwasababu hakuna aliyekuzuia usijifungie ndani, usinawe mikono, usivae barakoa, usisafiri safari zisizo za lazima.
 
Yeye kaacha kutegemea wafadhili? Juzi tu waziri wake kaenda kwa wazungu Ufaransa kuomba halafu kodi gani anakusanya wakati biashara zote kauwa au unababaishwa na matakwimu ya kupika?
Hata Marekani inakopa China kwa kazi maalum. Hata sisi kukopa kwaajili ya kazi maalum kama kumalizia reli, bwawa la umeme, na barabara kuna ubaya gani?. Zamani tulikuwa tukikopa mikopo ya kipumbavu isiyofanyakazi zilizokusudiwa wakati wa kukopa.
 
Huna akili
 
Wakati wetu sisi tulipokuwa watoto, tunapotaka kununua mpira wa miguu, jezi, filimbi au viatu vya kuchezea kwenye timu zetu za mpira tulikuwa kama timu tunakwenda kufanyakazi za vibarua kama ujenzi, kulima, kubeba, kuosha magari, nk ili tupate pesa za kununulia kama ni mpira mpya, jezi. viatu, nk
Huna akili
 
Huna akili
Real? punguza hasira nafahamu nawe ulikuwa mnufaika wa awamu zilizopita.

Tulipokuwa watoto enzi za Nyerere rip tulikuwa tukiifahamu thamani ya kujitegemea. Tulipokuwa tunahitaji mpira, viatu au jezi kwaajili ya timu yetu tuliluwa tunatafuta kazi tufanye ili tupewe hela za kununulia mpira au jezi, lakini baada ya Nyerere hata watoto walifundishwa kutegemea wahisani na wafadhili. watoto hawatafuti kazi tena ili wapate hela ya kununulia mpira wao bali wanatandika mkeka njiani kuomba hela za kununulia mpira kutoka kwa wapita njia, wenye vyombo vya usafiri na kwenda kwa matajiri kuomba hela ya kukunulia mpira, jezi, maji ya kunywa na dawa za kujichua wakati wa mechi. Vijana wanaamini kwenye kupewa sio kutafuta. Huko ndiko taifa lilikokuwa likielekea,

wafanyabiashara walikuwa hawalipi kodi, TRA walikuwa wanakula hiyo kodi kidogo wakiokuwa wakiikusanya. Sasa hivi thubuuuutu uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…