Wazungu walitufundishaje (Waafrika) Kiingereza?

Wazungu walitufundishaje (Waafrika) Kiingereza?

motto huwa anajuaje kuzungumza na huwa anafundishwaje wakati huwa hajui kitu chochote.jibu lake ni jibu kwenye swali lako


Mtoto anafundishwa na Wazazi wake, sasa sisi Wazazi wetu hawakuwa Wazungu!
 
Mtoto anafundishwa na Wazazi wake, sasa sisi Wazazi wetu hawakuwa Wazungu!
mbinu ile ile anayotmia mzazi ya kumfundisha mtoto kwa kuongea naye hata kama mtoto haelewi mpaka mtoto anaanza kuelewa kwa vitendo baadaye maneno na baadaye kuunganisha sentensi ni hivyo hivyo ndio tulikuwa tunafundishwa na wazungu lugha zao
 
mbinu ile ile anayotmia mzazi ya kumfundisha mtoto kwa kuongea naye hata kama mtoto haelewi mpaka mtoto anaanza kuelewa kwa vitendo baadaye maneno na baadaye kuunganisha sentensi ni hivyo hivyo ndio tulikuwa tunafundishwa na wazungu lugha zao


Unamaanisha wakati bado tuko watoto?
 
Unamaanisha wakati bado tuko watoto?
tukiwa wakubwa hivi hivi.mimi nilikuwa nafanyakazi na wazungu Fulani tulikuwa kijinini ambako kiingereza hakuna kabisa basi wale wazungu wakaajiri wapishi na wafanyakazi wa bustani ambao hata neon moja la kiingereza walikuwa hawajui na wazungu walikuwa wanajua jambo tu.Wazungu wakawa wanawasiliana kwa vitendo kwa hao wapishi na baada kama ya mwaka wale wapishi walikuwa wazuri sana kwa kiingereza.Kiingerza wanachoongea kwasasa kuna wanachuo hawawezi.mimi ni shuhuda kwani najua kuanzia mwanzo walipokuja.Wazungu wao muda wote ilikuwa ni kuongea kiingerza tu na hao wafanyakazi na wazungu nao mpaka leo Kiswahili hawajui ila waswahili English safi kabisa
 
tukiwa wakubwa hivi hivi.mimi nilikuwa nafanyakazi na wazungu Fulani tulikuwa kijinini ambako kiingereza hakuna kabisa basi wale wazungu wakaajiri wapishi na wafanyakazi wa bustani ambao hata neon moja la kiingereza walikuwa hawajui na wazungu walikuwa wanajua jambo tu.Wazungu wakawa wanawasiliana kwa vitendo kwa hao wapishi na baada kama ya mwaka wale wapishi walikuwa wazuri sana kwa kiingereza.Kiingerza wanachoongea kwasasa kuna wanachuo hawawezi.mimi ni shuhuda kwani najua kuanzia mwanzo walipokuja.Wazungu wao muda wote ilikuwa ni kuongea kiingerza tu na hao wafanyakazi na wazungu nao mpaka leo Kiswahili hawajui ila waswahili English safi kabisa


Sitaki kukupinga lkn nitakuwa ni wa mwisho kuamini hiyo story, ni lazima kuwe namna nyingine ya kumfundisha mtu labda kama mtoto wa chini ya miak 2 hapo sawa atajifunza lugha unayoongea lkn kwa mtu mzima useme kama ulivyosema bila ya kusoma popote hlf aweze kuongea lugha ya kigeni ambayo haina uhusiano wowote na lugha yake hilo ni ngumu kuamini!

Huwa inatokea kuna magenius ambao anaweza kujifunza lugha kwa mwezi tu lkn hao viumbe ni wachache sana!
 
Barbarosa huwa una ideas nzuri sana. Lakini amini, amini nami nakuambia you're in the very thin line between brightness and insanity!
 
Ukishajua kuwa wale jamaa wana akili zaidi yetu wachoma mkaa (blacks) wala huwezi jiuliza swali kama hill.
Leo hii mbongo anaanza kusoma kiingereza toka form one had master's au PhD lakini hata matumizi ya "a", " an"; "at" au "in" hajui kutunga sentensi ndo usiseme hali mzungu anajifunza kiswahili kwa wiki 4 tu na anaongea
 
Mkuu nadhani ulipaswa kujiuliza sisi Waafrika tulijifundishaje lugha yao na sio wao walitufundishaje, enzi za Ukoloni hakukuwa na kauli ya kumbembeleza mtu.. Mzungu anaposema "come here" kama hujaelewa ujue utachezea viboko vya kutosha, kesho akisema tena "come here" lazima utaelewa anataka ufanye nini?
Jaribu kutazama movie inaitwa Roots ambayo inaonyesha uhalisia wa mambo yalivyokuwa, mhusika mkuu aliitwa Kunta Kinte na Wazungu walitaka atumie jina la Thobias.. akiulizwa jina anasema Kunta Kinte anachezea viboko alafu anaulizwa tena...
 
Mkuu nadhani ulipaswa kujiuliza sisi Waafrika tulijifundishaje lugha yao na sio wao walitufundishaje, enzi za Ukoloni hakukuwa na kauli ya kumbembeleza mtu.. Mzungu anaposema "come here" kama hujaelewa ujue utachezea viboko vya kutosha, kesho akisema tena "come here" lazima utaelewa anataka ufanye nini?
Jaribu kutazama movie inaitwa Roots ambayo inaonyesha uhalisia wa mambo yalivyokuwa, mhusika mkuu aliitwa Kunta Kinte na Wazungu walitaka atumie jina la Thobias.. akiulizwa jina anasema Kunta Kinte anachezea viboko alafu anaulizwa tena...
Kumbe ndivyo ilivyokua
 
Ukishajua kuwa wale jamaa wana akili zaidi yetu wachoma mkaa (blacks) wala huwezi jiuliza swali kama hill.
Leo hii mbongo anaanza kusoma kiingereza toka form one had master's au PhD lakini hata matumizi ya "a", " an"; "at" au "in" hajui kutunga sentensi ndo usiseme hali mzungu anajifunza kiswahili kwa wiki 4 tu na anaongea
Kuna mbogo wanaosoma?
 
Wabongo hawataki kiingereza cha darasan wanataka cha kutambia mtaan.
 
Walitumia gesture language, mambo ya ishara mpaka wakaelewana (step by step)
 
Dah asee kuna mzee mmoja wa kuitwa joseph anatema ung'eng'e anameza maneno kama vile huwa wanapiga story na malkia alishawahi kumwambia mwalimu mkuu wa shule flan (jina kapuni) kua hajui kingereza aongee kiswahili tu kwenye mkutano wa wazazi na walimu kilichoniuma zaidi ni kutuambia alikuwa farm worker kwa wazungu mwenye degree anaambiwa aongee tu kiswahili wala hujui kingereza na shamba boy asee tunakosea wapi
 
Binafsi huwa nastaajabu sana ninapoona Mwafrika akiongea lugha za Kizungu, iwe Kireno, Kifaransa au Kiingereza!

Swali ambalo hunijia kichwani waliwezaje kutufundisha Kiingereza? Walitumia mbinu gani?

Ukitaka kupata ukaribu labda wa ninachomaanisha, fikiria leo hii uende kwa Wahandzabe halafu uanze kuwafundisha Kifaransa, unaanzaje?

Izingatiwe kwamba ni rahisi kwa Mnyakyusa kujua Kiswahili kwani ni Mbantu hivyo ni lugha ya Familia moja au ni rahisi Mtanzania kujifunza Kizulu, lkn Kiingereza au Kifaransa ni Dunia nyingine kabisa, sasa walitumia mbinu gani mpaka leo tunaongea Kiingereza?
Fimbo ilihusika kwa 100%
 
Ya Kiarabu pia nimesahau tu kukiweka, lkn hatuongei Kiarabu na Waafrika wanaongea Kiarabu kama Wasomali lugha yao ni jamii moja na Kiarabu hivyo haishangazi, lkn Mgogo na Kiingereza? Walitumia mbinu gani?
Fimbo mjomba zilitembezwa mpaka wakaelewa
 
Back
Top Bottom