Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Binafsi huwa nastaajabu sana ninapoona Mwafrika akiongea lugha za Kizungu, iwe Kireno, Kifaransa au Kiingereza!
Swali ambalo hunijia kichwani waliwezaje kutufundisha Kiingereza? Walitumia mbinu gani?
Ukitaka kupata ukaribu labda wa ninachomaanisha, fikiria leo hii uende kwa Wahandzabe halafu uanze kuwafundisha Kifaransa, unaanzaje?
Izingatiwe kwamba ni rahisi kwa Mnyakyusa kujua Kiswahili kwani ni Mbantu hivyo ni lugha ya Familia moja au ni rahisi Mtanzania kujifunza Kizulu, lkn Kiingereza au Kifaransa ni Dunia nyingine kabisa, sasa walitumia mbinu gani mpaka leo tunaongea Kiingereza?
Swali ambalo hunijia kichwani waliwezaje kutufundisha Kiingereza? Walitumia mbinu gani?
Ukitaka kupata ukaribu labda wa ninachomaanisha, fikiria leo hii uende kwa Wahandzabe halafu uanze kuwafundisha Kifaransa, unaanzaje?
Izingatiwe kwamba ni rahisi kwa Mnyakyusa kujua Kiswahili kwani ni Mbantu hivyo ni lugha ya Familia moja au ni rahisi Mtanzania kujifunza Kizulu, lkn Kiingereza au Kifaransa ni Dunia nyingine kabisa, sasa walitumia mbinu gani mpaka leo tunaongea Kiingereza?