Huwa napenda sana kutembelea shirika la habari la urusi ambalo linaitwa RT au russia televison na wakati mwengine huwa natoa maoni. Sasa leo wametoa habari ya kivuko kilichozama. Watu wakaanza kutoa maona kama ifuatavyo.
1. I am always amazed. Do these people not know how to swim?
Mwengine akamjibu
2. Africans have difficulty swimming for some reason, heavy bones.
Alafu huyu namba 2 akapata likes za kitosha tu. Nikajiuliza hivi hawa wazungu wanaakili kweli
1. I am always amazed. Do these people not know how to swim?
Mwengine akamjibu
2. Africans have difficulty swimming for some reason, heavy bones.
Alafu huyu namba 2 akapata likes za kitosha tu. Nikajiuliza hivi hawa wazungu wanaakili kweli