HahaaaaIla hao ni warusi sio wazungu
Wazungu ni wapi mkuu??Ila hao ni warusi sio wazungu
Ukishakuwa na sample si ndio ina conclude population mzeehii conclusion yako ni ya kitoto sana. mi nlidhani watu wenye akili timamu wameongelea hilo kumbe maoni tu ya mtu binafsi kwenye page ndo unapata conclusion wazungu wamebeza? nyie wengine shule huwa mnajifunza nini? a merely somebody and you generalize because of those two people?which is also a joke? inaingia akilini kweli kuna watu wanaishi pembezoni mwa ziwa victoria, nyasa,tanganyika, etc wasijue kuogelea? maoni ya mtu mmoja mmoja ambaye si lolote si chochote unasema "wamebeza" nlidhani ni watu flani wanaoongea kwa niaba ya wengine wengi nyuma yao. mjaribu kukua jamani.mnatukatisha tamaa sana sisi wengine kwa style hii. kesho na keshokutwa unaweza kuja kuwa mke wa mtoto wangu kwa reasoning kama hii kweli nitakuwa na mkwe hapo?
HahahWarusi hao,sio wazungu.sana ubabe had kweny kauli
Ukishakuwa na sample si ndio ina conclude population mzee
Kuliko unavyofikiriaBob... Unaifaham research vizur? Please.
Kuliko unavyofikiria
Maana jamaa alipata likes za kutosha tu. Kwahiyo hao pia nimewaweka kwenye findings zanguAiseeeee.... Ndo uka conclude vile?anyway....kwa miaka hii sishangai sana ndugu yangu.tuna kazi kubwa sana. Haya all the best mtaalam.
Gudume Shalom,Aiseeeee.... Ndo uka conclude vile?anyway....kwa miaka hii sishangai sana ndugu yangu.tuna kazi kubwa sana. Haya all the best mtaalam.
Thanks for this suggestion.I use to think the same
way, OP. Then I realized that a lot of people out there are really fucking stupid.