gaba peter
Senior Member
- Jan 7, 2016
- 178
- 65
toa heraaaaa watakuelewa tuuuu
Mamii,hata mimi nilifikiri hivo,ina maana kutongoza inakuja automatic au?,maana ni somo gumu kufikisha ujumbe mrembo akuelewe au nakosea?Kutongoza Nako unafundishwa?
Kama ni hivyo,basi mimi nakupenda mamii.Sasa Hajui kama mkono mtupu haulambwi
Kweli ulikua busy asee hadi ku quote umesahau....Raha ya pesa uipate ujanani Kaka mshana, ilibidi niwe busy 6 yrs kuandaa flow ya pesa
Asee mbona hulali.....