mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Msaidie tu jinsi unavyopigwa sound


mkuuu nitabase sana Kwa mwanamke haifai mfundisheni mwenzenu jamani mnamkimbiakimbia tuMsaidie tu jinsi unavyopigwa sound


mkuuu nitabase sana Kwa mwanamke haifai mfundisheni mwenzenu jamani mnamkimbiakimbia tuNimwambie kama nlivyokwambia ww?Hahahhahaahhahhanhahhahah mfundishe mwanaume mwenzio
Yeye ana hela?Nimwambie kama nlivyokwambia ww?
Muulize mwnywYeye ana hela?
We mke si ushapata njia zabkutongoza za nn? Au unatafuta mchepuko.Wakuu habari za usiku! Baada ya ubize wa miaka mingi sasa nimerudi mtaani rasmi , cha ajabu mbinu za kunasa mdada wa kuoa sina kabisa , yaani nilivyoanza kuwa busy enzi hizo na Uwezo ukapotea. ... em wazoefu tupeni mbinu , muwasaidie na wale midomo kilo 100,
naogopa Kula ckukuu mwenyewe

...naogopa Kula ckukuu mwenyewe
Kutongoza hakuna formula wala kanuni akomae tu domo zege uyomkuuu nitabase sana Kwa mwanamke haifai mfundisheni mwenzenu jamani mnamkimbiakimbia tu
Bas ata Kwa sms kashindwa?Kutongoza hakuna formula wala kanuni akomae tu domo zege uyo


Kazi kwelikweli