Wazoefu wa kutongoza !

Wazoefu wa kutongoza !

Wadada wa uswaz chips yai na kuku tu unakula mzgo
 
1481175626573.jpg
 
mwambie dada samahani sana akigeuka tu usiwe mzito mwambie naomba kukuhuliza akisema uliza,mwambie kuwa wewe umetokea kukupenda sana na muhulize kama yuko busy au kama unaweza msifia kitu chochote mf.mdomo kichwa miguu mat...ko kama hayupo busy msikilize kama jambo atakalo kwalo kwambia halina msingi unaweza kum convince kuwa nakuomba falagha kidogo.huyo ni dem wa wa fasta fasta una haja ya number wale wa geti kali lo.......ding next time


swissme
 
Wakuu habari za usiku! Baada ya ubize wa miaka mingi sasa nimerudi mtaani rasmi , cha ajabu mbinu za kunasa mdada wa kuoa sina kabisa , yaani nilivyoanza kuwa busy enzi hizo na Uwezo ukapotea. ... em wazoefu tupeni mbinu , muwasaidie na wale midomo kilo 100,


naogopa Kula ckukuu mwenyewe
We mke si ushapata njia zabkutongoza za nn? Au unatafuta mchepuko.
 
Kaangalie muvi ya James Bond yoyote, humu tutakosa practice nzuri.

Au labda kuwa mwanamke mimi niwe nakutongoza.
 
Siku hizi hatutongozi, tunatafuta fedha, zikipatikana wadada wanakuja wenyewe. Hii njia ya kutongoza inaitwa jiwe moja ndenge wawili.
 
First Scenario
You:hi shawty,are you single?
Girl:mhm..Yes..
You:..well..It must be a lucky day for both of us....
Second Scenario
You:Hi shawty,are you single?
Girl:Nah,I have a boyfriend...
You:Wow!..I love committed girls....😎😎😎

Moral of the story:Make the best use of any scenario...😀😀
 
Back
Top Bottom