Wazo la leo

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
Usimuone ng'ombe anatembea huku anakunya, anajali muda.. (time management)
....
Baba m1 alikua anasafiri kwa punda na mwanae, akampandisha mtoto kny punda yeye akatembea, watu wakasema anamdekeza mtoto!
Akaamua kupanda yeye na kumwacha mtoto anatembea, wakasema ukatili gani huu wakati mtoto anataabika.
Akaamua kupanda yeye na mtoto, wakasema, ukatili dhidi ya wanyama..
Akaamua yeye na mwanae kutembea, watu wakasema hawajui kutumia punda..
. . . . .
Ishi maisha yampendezayo Mungu na sio wanadamu, maana hata ufanyeje huwezi kumridhisha kila mtu..
 
Usimuone ng'ombe anatembea huku anakunya, anajali muda.......... kweli ni wazo lako ktk siku husika teeh teeeh!
 
mzigo kichwani,jasho kwapani la nini?
Nalog off
 
hata kama uwe na kontena la viatu lazima ulale chini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…