Wengi tunashindwa kujua mapenzi hayana fadhila na ukipenda boga ..basi ulipende na ua lake.
Ndio maana kuna matatizo sana kati ya relationship nyingi kwani utakuta mtu akinuna tu.. anakumbusha ada zake alizokulipia wakati unasoma..Tenda mema nenda zako.. ukiamua kupenda sahau na wala usiingize fadhila zako.. Mapenzi na fadhila ni vitu viwili tofauti..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.