mmh, hapo mwingine akiamua kurudishia ndani itakuwaje? Hapa panaonekana siyo kijijini kihivyo kwamba bado wana yale ya kizamani sana ya kupokezana kilita cha ulanzi, sasa imekuwaje tena?
hii inatumika sijui wapi vile? kwa kina baba Koku eeeh?
mkipanga hu mduara kama una mke mmoja unakaa mbele karibu na mlango ila mwenye wake wengi anakaa nyuma na mwisho, hawa hata wakipata taarifa za msiba wanauliza tu mke yupi? ila we mwenye mmoja si utapata presha na kama uko nyuma utamwaga pombe wakati wa kutoka ndo maana wanakuweka mbela karibu na mlango
DUh sinywi hata kwa dawa, mimate ya watu daaaaaaaaaaaaaaaaah
Kazi kwelikweli..!Lady N:
Niombe radhi - Baba Enock/Koku hawezi ku-entataini huu "UCHAFU"! Watu wazima na akili zao wanapigana denda livu?
Utamaduni wa watu mzee! Ndo ujamaa wenyewe. Wacheki wanavyo-enjoy. Wala hakuna kinachowasumbua. Ni raha tu!