Wazo la kuwepo Tuzo kwa Mikoa na Wilaya

Bornventure

JF-Expert Member
Jan 29, 2017
529
523
Ni vyema sasa Serikali ikawaza kuwepo na tuzo pia kuitambua Mikoa na wilaya ambazo watu wake wamefanya kazi kubwa kuinua maendeleo ktk nyanja mbali mbali za maisha bila kuwepo msaada au upendeleo wa serikali kuu.
Niweke tu wazi kwamba mikoa au miji inayobebwa na serikali isihusishwe mf, Dar es salaam, Dodoma, Arusha , Chato na Mtwara.
Vigezo viangaliwe ktk - kilimo na chakula, mapato, elimu, afya, makazi barabara na majengo.
 
Wazo zuri sana, hizo tuzo zitakuwa zinatolewa baada ya mda gan? Je mwez , mwaka 1 au baada ya miaka 5?
 
Iwe kilabaada ya miaka mi tano, hii itahamasisha wale wanaolegalega ktk mikoa yao wawe na ushindani utakao leta uzalendo kwa kuipenda na kuiendeleza mikoa au wilaya zao
 
Back
Top Bottom