Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
ninatoa ombi kwa wanawapenda amani na wasiotayari kuvumilia manyanyaso ya watu wasio na hatia, tujiunge pamoja kwa mapanga,mafyekeo na majembe tuufyeke msitu wa PANDE.
Tuwahimize ndugu zetu wachoma mkaa toka mahali mbalimbali waje tuushambulie msitu huu. Yalianza kwa ZOMBE, sasa yamefika Kwa Dr Ulimboka nani anajua kesho atakuwa nani Kule PANDE?
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Tuwahimize ndugu zetu wachoma mkaa toka mahali mbalimbali waje tuushambulie msitu huu. Yalianza kwa ZOMBE, sasa yamefika Kwa Dr Ulimboka nani anajua kesho atakuwa nani Kule PANDE?
TAFAKARI CHUKUA HATUA