wazo la biasharaa

wazo la biasharaa

hlary junior

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
23
Reaction score
1
jamani naombeni msaada wa mawazo je ninaweza kuanza biashara gani bila kua na pesa taslimu mknoni ndgu zangu?
 
Kwa akili yako ndogo unaona unaweza kufanya biashara bila kuwa na hela hata kidogo? Labda utupe idea wewe
 
Fundisha tusheni watoto wadogo au wa sekondari. anzia hapohapo mtaani kwako.

bado natahitaji hela ya madawati au viti na meza pamoja na darasa la kukodi vinginevyo akisema awafundishie watoto chumbani kwake kitandani lazima jela ihusike nae.
 
Kuna Kitabu Dah! Siki Kumbuki Fresh Ila Kinaelezea How To Start Business From "0" Zero. Kitafute!
 
mie naona ujasiriamali usiohitaji cash bali nguvu zako na usmart wako ni kuwa mc tuu maana mike utatumia ya dj ukumbi utalipiwa na wenye sherehe na kula utakula humohumo sanasana sherehe ikiisha unaondoka na cash yako. Hapo mtaji wako ni sauti na ujue hadira yako ni watu wa namna gani na uwaburudisheje. Kazi ni kwako!!
 
hii inahitaji pesa ya mbegu mbolea na pembejeo kama hana kitu kabisa
Akisema bila pesa hamaanishi kuwa hana hata sh elf 20 ya kununua mbegu za mchicha!! Look boy ukilima robo ekari ya mchicha in two weeks you can make more than 150,000 thau
Tatizo watoto wa siku hizi chipus mayai kwa saana, kushika jembe ni adhabu
Mtaji wa masikini nguvu zako mwenyewe!!
 
mmmmh kuna biashara isiyoanza na capital kweli?
 
Okota Makopo Au Kachonge Na Dk Akutafutie Watu Wanene Awashauri Waje Kwako Uwafanyishe Mazoezi Wakulipe K2 Kidogo Au Azima Pensel Uanze Kubuni Maua Unawauzia Wanaodarz Vitambaa
 
Bado atakuwa hana cash ya kununulia kitabu maana yeye anataka aanze biashara na zero laba umuazime hiko kitabu yeye awekeze kwenye muda wa kusoma na kutekeleza.
Naona umemuamulia dogo, ila anaweza pia kufanya udalali, kupiga debe, ukonda, kuomba kama wagogo, n.k achague mwenyewe.
Ila ulipotea.
 
Back
Top Bottom