Wazo kuntu; Kwanini sasa na sio ndege za mwanzo?

Wazo kuntu; Kwanini sasa na sio ndege za mwanzo?

Mkuu kwa wenzetu wanafuata sheria. Inawezekana amri ya kukamata mali ilikuwa bado kupatikana katika zile ndege za mwanzo na sasa imepatikana wakati ndege ya tatu iko karibu kuondoka. Pia upande mwingine labda kwa mawazo yako ulitaka na hizi za mwanzo tuwarudishie?

Kingine kama tulipatikana na hatia mahakamani ulitaka tuwarushe hawa jamaa? Hebu msituingize katika dhambi za dhuruma wengine ambao hatujaokoka tuna mpango wa kuokoka hebu ya kaisari na apewe kaisari tukijua kuwa mavuno yatatokana na tulichopanda. Tukiwekeza kwenye kuwatendea haki wengine tutambue kuwa tutanyooshwa mahakamani. Dhana ya mhimili uliojichimbia kuliko mingine ni dhana potofu sana. Tujifunze tokana na makosa.
Kwa mujibu wa huyo ndugu,,kesi hii ni ya muda mrefu why decision are taken now.na km wanataka wachukue zote tumalize deni then tuachene nao,kwa nn tuumize vichwa?
 
Kwa mujibu wa huyo ndugu,,kesi hii ni ya muda mrefu why decision are taken now.na km wanataka wachukue zote tumalize deni then tuachene nao,kwa nn tuumize vichwa?

Mkuu kuna vitu vya msingi kuona:

1. Kesi kuwa ya muda mrefu
2. Kuwapo kwa hukumu tokea mahakama ya kimataifa ya kuwa tunapaswa kulipa fidia
3. Kesi ya Canada ili kutekelezwa kwa hukumu ya kimataifa katika yaliyomo ndani ya uwezo wa Canada kama nchi.
4. Kuwepo kwa amri ndani ya Canada inayoiwezesha kukamatwa mali kama fidia

Sasa sijui wewe unaongelea lipi kati ya haya manne? Ila lililo wazi ni kuwa kwa wenzetu ambako haki zimetamalaki hawafanyi jambo bila ya kuwapo kwa amri halali ya mahakama na hakuna mhimili uliochimbiwa zaidi kuliko mwingine.
 
Kama mnadhani kuna mtu kachongea ndio ndege ikakamatwa, jiulizeni kwanini huyo mchongeaji asizichongee zile ndege mbili za mwanzo aje kuichongea hii moja? Ina maana hao wanaodai walikuwa hawajui la kufanya mpaka waelekezwe na mfitini wa kitanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati najiuliza maswali na nina shindwa kupata majibu.Hivi serikali ya Tanzania ni mara ya kwanza inanunua ndege CANADA? jibu kuwa sio mara ya kwanza.

PILI,
Kesi inayosemwa na LISU je ni ya mwaka huu? Jibu ni kuwa ni ya Muda Mrefu,,,,,
Swali;kwa nini ndege zile za mwanzo zilizokuja mwaka jana hazikuzuiwa? kwa nini iwe sasa?

CONNECTING DOTS
Kabla ya tukio hili miezi kadhaa iliyopita kulikuwa na kelele za kuwa tutashtakiwa mara oooh mara vile eeeh!!!

My thoughts: i am standing to be corrected if am wrong:MAY BE SOME ONE IS TRYING TO PROVE SOMETHING BY PUTTING EVEN WRONG DATA TO GET TO THE PREDETERMINED GOAL.....yaani mtu tayari ana dhana kuwa serikali itashtakiwa and then kuiprove hiyo dhana anatumia njia yoyote ili aje aseme si niliwaambia ,,mmeona??
I mean pengine kuna nguvu flani toka ndani iliyo wafanya watu hawa waamue kuchukua maamuzi haya sasa na sio kwa ndege zile za mwanzo.
These happen only in Tanzania

Free mind@Jaruri
0712207633


Hi guy,
As I was enjoying reading your thread, I have finally decided to say this: You are among of the greater thinkers here at JF. From my experience I have about Tanzanian politics and politicians, particularly the other side of the coin, it is certainly that the guy could be the master mind of this move. Only those type of guys, from X point do cheers at this, as if they are not Tanzanian. To lead this nation, it need strong heart with good courage my friend, taifa gumu sana hili.

All the best,
K
 
Hivi ni lini kama nchi wote tutakua na mawazo ya kuamka na tuamua kujinasua kutoka hapa tulipokwama?
Shuleni tunaenda kufanya nini kama tunashindwa kutafakari mambo yanavyokwenda na kuchukua maamuzi?
Hivi inaingia akilini eti Lissu ndie awe chanzo cha ndege kukamatwa?
Tufumbue macho jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekaa ukajiandaa na kujipanga sawasawa kwamba unaleta kitu cha kujadili watu wazima! Shida jf utoto umezidi mnakurupuka na kuandika mambo ya kitoto yasiyo na mbele wa nyuma? Kama una cha kuandika hebu kaa kimya
naunga mkono hoja na watu kama hawa ndio wanaopoteza ubora WA platform
 
Kuna wakati najiuliza maswali na nina shindwa kupata majibu.Hivi serikali ya Tanzania ni mara ya kwanza inanunua ndege CANADA? jibu kuwa sio mara ya kwanza.

PILI,
Kesi inayosemwa na LISU je ni ya mwaka huu? Jibu ni kuwa ni ya Muda Mrefu,,,,,
Swali;kwa nini ndege zile za mwanzo zilizokuja mwaka jana hazikuzuiwa? kwa nini iwe sasa?

CONNECTING DOTS
Kabla ya tukio hili miezi kadhaa iliyopita kulikuwa na kelele za kuwa tutashtakiwa mara oooh mara vile eeeh!!!

My thoughts: i am standing to be corrected if am wrong:MAY BE SOME ONE IS TRYING TO PROVE SOMETHING BY PUTTING EVEN WRONG DATA TO GET TO THE PREDETERMINED GOAL.....yaani mtu tayari ana dhana kuwa serikali itashtakiwa and then kuiprove hiyo dhana anatumia njia yoyote ili aje aseme si niliwaambia ,,mmeona??
I mean pengine kuna nguvu flani toka ndani iliyo wafanya watu hawa waamue kuchukua maamuzi haya sasa na sio kwa ndege zile za mwanzo.
These happen only in Tanzania

Free mind@Jaruri
0712207633


Joby rahisi Kwa sababu y'all makinikia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati najiuliza maswali na nina shindwa kupata majibu.Hivi serikali ya Tanzania ni mara ya kwanza inanunua ndege CANADA? jibu kuwa sio mara ya kwanza.

PILI,
Kesi inayosemwa na LISU je ni ya mwaka huu? Jibu ni kuwa ni ya Muda Mrefu,,,,,
Swali;kwa nini ndege zile za mwanzo zilizokuja mwaka jana hazikuzuiwa? kwa nini iwe sasa?

CONNECTING DOTS
Kabla ya tukio hili miezi kadhaa iliyopita kulikuwa na kelele za kuwa tutashtakiwa mara oooh mara vile eeeh!!!

My thoughts: i am standing to be corrected if am wrong:MAY BE SOME ONE IS TRYING TO PROVE SOMETHING BY PUTTING EVEN WRONG DATA TO GET TO THE PREDETERMINED GOAL.....yaani mtu tayari ana dhana kuwa serikali itashtakiwa and then kuiprove hiyo dhana anatumia njia yoyote ili aje aseme si niliwaambia ,,mmeona??
I mean pengine kuna nguvu flani toka ndani iliyo wafanya watu hawa waamue kuchukua maamuzi haya sasa na sio kwa ndege zile za mwanzo.
These happen only in Tanzania

Free mind@Jaruri
0712207633



Itakuwa ulimsikiliza Masoud Kipanya asubuhi ndio aliuliza maswali hayo exactly unavyoyauliza sasa.....

Nikupe mfano hai...

Lugumi anadaiwa na TRA toka mwaka jana lakini nyumba zake ndio zimetangazwa kupigwa mnada mwezi ujao...

WHY NOW?? Mdai pengine alidhani mdaiwa atalipa bila kulazimishwa, alivyoona mdaiwa hana mpango wa kulipa basi imebidi YONO wahusike!!!

Kwa mfano huo utakuwa umepata majibu
 
Hi guy,
As I was enjoying reading your thread, I have finally decided to say this: You are among of the greater thinkers here at JF. From my experience I have about Tanzanian politics and politicians, particularly the other side of the coin, it is certainly that the guy could be the master mind of this move. Only those type of guys, from X point do cheers at this, as if they are not Tanzanian. To lead this nation, it need strong heart with good courage my friend, taifa gumu sana hili.

All the best,
K
How much you have been paid today
 
Na wale walotushinda katika kesi ya [emoji229][emoji226][emoji226][emoji226]walikuwa pia wameambiwa na lisuu wakaishtaki serikali yetu[emoji85][emoji33][emoji32]
Hakika tumahitaji mwenendo mpya, kushauriwa na mtu wako wa karibu ni jambo muhimu sana ila ukimpuuza mshauri wako huwezi kuamini ushauri wa mtu wa mbali yako.
Na maisha hayawezi kuwa matamu kama hutomskiza jirani/rafiki/nduguyo na hata mshauri wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliwazalo mjinga ndilo humtokea! Ujinga huu ndo unawafanya wana Lumumba kuwa hivi walivyo! Hopeless kabisa eti kahamasisha????
 
MTOA MADA kwa hiyo unamaanisha na unaamini kwamba Mh. LISSU ana sauti kuliko SERIKALI YETU huko Ughaibuni?
 
Hivi ni lini kama nchi wote tutakua na mawazo ya kuamka na tuamua kujinasua kutoka hapa tulipokwama?
Shuleni tunaenda kufanya nini kama tunashindwa kutafakari mambo yanavyokwenda na kuchukua maamuzi?
Hivi inaingia akilini eti Lissu ndie awe chanzo cha ndege kukamatwa?
Tufumbue macho jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
ule upande wa pili ni wajinga sana hawaoni tatizo la mkuu na madhara yanayotokea na yatakayotokea kwaubabe
 
ule upande wa pili ni wajinga sana hawaoni tatizo la mkuu na madhara yanayotokea na yatakayotokea kwaubabe
magu asipojirekebisha ataonyeshwa kuwa kuna wababe zaidi yake ndio maana anaogopa hata kwenda kuona dunia na maendeleo ya nchi mbalimbali .
 
Back
Top Bottom