Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Hii si mara ya kwanza kufanya kosa kama hili, hivi karibuni aliwaandalia waislamu futari pale Diamond Jubilee Hall, huku akijua asilimia kubwa waliopo pale ni waislamu akaomba aletewe T-shirt iliyoandikwa JESUS IS MY HOPE.
View attachment 1171793
Umenikumbusha zile cheni za dhahabu za Mzee wa Masasi.HWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Badala ya kumwambia Magufuli amuondoe ili akawe mwinjilisti kwanini usimshauri Makonda in polite language namna nzuri ya kutumia mavazi yake kwa jamii?View attachment 1171789
PIchani RC Paul Makonda akizuzungumza na wafanyabiashara wa kazi mbalimbali za sanaa ikiwa sehemu ya maandalizi ya ujio wa Mkutano wa SADC. (Picha na habari zaidi kutoka kwa Issa Michuzi. )
Kuna mambo mengine ukiyaangalia yanakufanya ujisikie kufyatuka kidogo. Sina tatizo kwa Makonda kuvaa tshirt au mavazi yoyote yanayoonesha imani yake juu ya Yesu Kristu - Bwana na Mwokozi. Anaweza kuvaa mavazi hayo akiwa nyumbani kwake, akienda zake kanisani au kwenye huduma fulani au hata akiwa likizo.
Nina tatizo na yeye kuvaa vazi hili linaonesha maneno ya "Jesus is my Hope" - "Yesu Tumaini Langu" akiwa katika kitu kinachoonesha ni shughuli ya kikazi au ambapo anafanya kama Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam. Kama Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam siyo jukumu lake kuhubiri Injili au kutangaza imani yake akiwa kazini. Hili ni kweli kwani hata mfanyakazi mwingine wa umma hawezi kwenda kazini asubuhi amevaa tshirt yenye maneno ya kiimani kama hayo.
Huku ndio kunaitwa "kuchanganya dini na siasa" na kuifanya serikali ionekane kama ina "dini". Makonda siyo kiongozi wa kidini hivyo ni makosa ya wazi na yanaoonesha kutokukomaa kisiasa au kiuongozi.
Kama lengo lake ni kutangaza Injili na kushiriki katika huduma ya mavuno basi anaweza kumuomba Rais Magufuli ukipita ugeni wa SADC (au hata mapema) ajiuzulu nafasi yake ili aende kumtumikia Mungu kama Mwinjilisti! Lakini kama ataona vigumu kuomba hivyo basi Rais Magufuli amsaidie kumwarakisha aende kwenye huduma akatangaze habari za wokovu; na kwa jinsi anavyoonekana ana kipawa fulani hivi cha uhubiri. Rais Magufuli amshukuru kijana huyu kwa kazi aliyofanya Dar na ampe likizo hata ya mwaka mmoja (sabbatical) ili aende akahubiri. Akiona inafaa anaweza kumrudisha tena baadaye...
Hili ni wazo korofishi tu...
Gussie,swadakta!HWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Mlikwisha sema dini na siasa ni mapacha,hao maaskofu wenu uchwara waraka zao zinakujaje kwa serikali?Unachosema ni sahihi na kibaya zaidi it seems anatumia dini kama siasa, yaani kuvuta hisia za watu na ndiyo maana kipindi kile akiharibu breki ya kwanza ni church na anamake sure camera zimemchukua akisali kwa hisia ili kuvuta public sympathy
HWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Barakashia, kanzu ni ustaarabu wa middle east havihusiani na dini
Ndiyo maana hata Nyerere na Mrema walikuwa wakivaa hivyo vibaraghashia,
Tshirt pia siyo tatizo, ila maandishi hayo ukiwa ofisini haijakaa sawa kwa mtumishi wa wote
HWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Kwenye dress code ya serikali sina hakika kama tshirt inaruhusiwaHWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Kinadharia dini zipo ili kuhuisha maisha ya mwanadamu yawe bora. Kwa bahati mbaya sana katika nchi masikini, dini zinageuka kuwa kichocheo cha ujinga kutokana na wengi kutojifunza, kudadisi, kuuliza au kusomaSi mara moja au mara mbili ninamuona Makonda akiwa amevaa Kanzu na baragashia
ikiashiria imani fulani na hakuna aliyewahi kujenga hoja kama hii,Ni vema tukajikita kwenye mambo ya msingi zaidi itapendeza.
5Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki,View attachment 1171789
PIchani RC Paul Makonda akizuzungumza na wafanyabiashara wa kazi mbalimbali za sanaa ikiwa sehemu ya maandalizi ya ujio wa Mkutano wa SADC. (Picha na habari zaidi kutoka kwa Issa Michuzi. )
Kuna mambo mengine ukiyaangalia yanakufanya ujisikie kufyatuka kidogo. Sina tatizo kwa Makonda kuvaa tshirt au mavazi yoyote yanayoonesha imani yake juu ya Yesu Kristu - Bwana na Mwokozi. Anaweza kuvaa mavazi hayo akiwa nyumbani kwake, akienda zake kanisani au kwenye huduma fulani au hata akiwa likizo.
Nina tatizo na yeye kuvaa vazi hili linaonesha maneno ya "Jesus is my Hope" - "Yesu Tumaini Langu" akiwa katika kitu kinachoonesha ni shughuli ya kikazi au ambapo anafanya kama Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam. Kama Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam siyo jukumu lake kuhubiri Injili au kutangaza imani yake akiwa kazini. Hili ni kweli kwani hata mfanyakazi mwingine wa umma hawezi kwenda kazini asubuhi amevaa tshirt yenye maneno ya kiimani kama hayo.
Huku ndio kunaitwa "kuchanganya dini na siasa" na kuifanya serikali ionekane kama ina "dini". Makonda siyo kiongozi wa kidini hivyo ni makosa ya wazi na yanaoonesha kutokukomaa kisiasa au kiuongozi.
Kama lengo lake ni kutangaza Injili na kushiriki katika huduma ya mavuno basi anaweza kumuomba Rais Magufuli ukipita ugeni wa SADC (au hata mapema) ajiuzulu nafasi yake ili aende kumtumikia Mungu kama Mwinjilisti! Lakini kama ataona vigumu kuomba hivyo basi Rais Magufuli amsaidie kumwarakisha aende kwenye huduma akatangaze habari za wokovu; na kwa jinsi anavyoonekana ana kipawa fulani hivi cha uhubiri. Rais Magufuli amshukuru kijana huyu kwa kazi aliyofanya Dar na ampe likizo hata ya mwaka mmoja (sabbatical) ili aende akahubiri. Akiona inafaa anaweza kumrudisha tena baadaye...
Hili ni wazo korofishi tu...
Mungu akubariki sana...huyu jamaa ana matatizo katika hili nasimama na Makonda...nilitamani kuongeza neno ila umesema yote...unajua ukiwa mshirikina mambo kama haya lazima yakuchukize..HWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Barakashia SIYO nembo ya imani yeyote! Usichanganye madesa! Inaonekana hata hujui mantiki ya thread hii.HWewe ndie umechanganyikiwa
Mtu akivaa barakashia kuna tatizo gani?
Mzee mwinyi akiwa Rais alivaa barakashia mbona hukuhoji?
Wale wanaovaa Rozali muda wote mbona hujahoji?
Mama Samia, Makamu wa Rais masaa yote ushungi anavaa, Huoni anakwaza baadhi ya watu wanaoamini Katika uhuru na usawa, Ushungi ni iwe Jua kali au baridi
Mbona hujahoji ya Mama Samia kuvaa ushungi?
Kwa taarifa yako Makonda Yeye sio mkatoliki, Kwa Imani ya kikatoliki yakupasa kukiri Imani yako sehemu yeyote ile bila hofu na uoga
Makonda anakiri Imani yake kwa kuvaa T shirt na hii ni funzo kwa wakristo Wengine, Mkristu kubeba Bibilia sio dhambi au kuvaa alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa sio dhambi
Mbona hujahoji January Makamba kuvaa kanzu wakati anamkabidhi ofisi Simbachawane?
Wewe ni nani hata uingilie watu kukiri imani zao mbele ya jamii?
Mkristu safi au Muislam safi haoni aibu kuvaa ushungi, kanzu, Rozali, barakashia au alama ya msalaba wa Yesu msulubiwa, wataendelea kukiri imani zao daima
Kiongozi wewe ni Gifted Fool,
Mbona hujahoji yale mapete wanayovaa wanasiasa mikononi, Jakaya aliyavaa sana akiwa Rais hata lowasa anayavaa sana na ni Waziri mkuu mstaafu, Je wote wanayapenda na kufurahia alama za mapete yakihusishwa na imani fulani
Tusiende Iraq, huko ni mbali sana. Hapo Zanzibar tu. Nimewahi kusali kanisa Katoliki pale Zanzubar na waumini walikuwa wamevaa kanzu, wengine baraghashia, huku wanawake wakiwa wamevaa hijabu zao.Mlivyojaa Roho za chuki kwa Makonda, Hata kuandika mnashindwa
Mkuu wewe ukiona neno Makonda hata kusoma Maelezo husomi, Unaanza kuflow chorus ya Chuki na Roho mbaya
Vaa barakashia kanisani kama barakashia haina dini
Wewe huna lolote zaidi ya roho mbaya na chuki, mnajitakia magonjwa mengine wenyewe hasa presha
Kumbe una akili ndogo namna hii kiasi cha kushindwa kuona madhara ya viongozi wa serikali kuvaa mavazi yenye maandishi ya kidini kwenye shughuli za serikali? Kila kiongozi angezuka amevaa mavazi yenye ujumbe wa kidini unafikiri nchi ingeenda wapi? Akili ndogo mpaka unashindwa kuona madhara ya jambo sensitive kama hili?Naona unalia mpaka umetoa kamasi
Tujikite kwenye hii thread.Ulitaka makonda avae suti sokoni?
Umejuaje kama Makonda ni mshirikina kama wewe si mshirikana?
Acha kukariri maisha,kwani akivaa jeans iliopasuka magotini msibani kwa Mengi anavunja sheria gani?
Badala ya kujadili fursa za Sadc,mnajadili fulana ya yesu kuvaliwa
Hapo yupo sokoni tu kwani maandishi ya yesu wewe yanakuumiza nini,yesu si wa kwakeKumbe una akili ndogo namna hii kiasi cha kushindwa kuona madhara ya viongozi wa serikali kuvaa mavazi yenye maandishi ya kidini kwenye shughuli za serikali? Kila kiongozi angezuka amevaa mavazi yenye ujumbe wa kidini unafikiri nchi ingeenda wapi? Akili ndogo mpaka unashindwa kuona madhara ya jambo sensitive kama hili?