Jamani nahisi kuna umuhimu wa kuweka deni la taifa kwenye katiba kwa twaweza kutumia GDP kupiga hesabu ni kiasi gani kiwa cha mwisho kukopa kutokana nauwezo wetu kama nchi ,kuwe na exemption tu kama kukiwa na vita au national disaster bila hivyo next generation watapelekwa utumwani kulipia madeni yetu ,hilo ni wazo tu jamani tujadili kama ni possible