Kungurumweupe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 317
- 109
Jamani nimechunguza hizi habari za ufisadi wa PPF nikagundua kuwa hao wajumbe wanaotajwa kulipwa mamilioni sio kweli. Kwanza bodi haijamaliza muda wake wala hakuna wajumbe walioondoka. Tuangalie waleta habari wasije wakasabisha mtandao wetu ukashatakiwa na hatimaye kufungiwa.
Mhh, hakuna hata mjumbe mmoja aliyelipwa. Habari za aina hii ni hatari mno.
Semsekwa.
PPF ni moja ya mifuko ya mafao ya uzeeni ambayo imelalamikiwa sana juu ya malipo duni kwa wanachama wao ikilinganishwa na mifuko mingine.
Habari tuliyonyaka inaonyesha kwamba wajumbe wa Bodi iliyomaliza muda wake kipindi kilichopita ilipitisha na kujilipa milioni 200 kwa kila mjumbe. Hiyo ikiwa eti ni shukrani kwa kazi nzuri waliyofanya.
Nimepiga mahesabu yangu kwa idadi ya wajumbe wa bodi ambao walikuwepo, ambao ni wanane mbali na staff wengine wa pembeni:
1. Gray Mgonja
2. Prof Bertha Koda
3. Monica Mbega
4. Elvis Musiba
5. Ramadhan Khijah
6. Dr Kassim Kapalata
7. William Erio
8. Samwel Lwakatare
inaonyesha zaidi ya bilioni iliondoka.
Je, hii ni halali? Wanacahama wa PPF wengine huishia milioni 20 baada ya kuchangia hata kwa miaka 25. hawa wajumbe wanajilipa milioni 200 kila mtu kwa kukaa ktk vikao vya bodi kipindi kisichofikia hata miaka 5!! Na tena nasikia hao hao tena wamependekezwa kurudi ndani ya Bodi.
Heb
Originally Posted by MchunguZI View Post
PPF ni moja ya mifuko ya mafao ya uzeeni ambayo imelalamikiwa sana juu ya malipo duni kwa wanachama wao ikilinganishwa na mifuko mingine.
Habari tuliyonyaka inaonyesha kwamba wajumbe wa Bodi iliyomaliza muda wake kipindi kilichopita ilipitisha na kujilipa milioni 200 kwa kila mjumbe. Hiyo ikiwa eti ni shukrani kwa kazi nzuri waliyofanya.
Nimepiga mahesabu yangu kwa idadi ya wajumbe wa bodi ambao walikuwepo, ambao ni wanane mbali na staff wengine wa pembeni:
1. Gray Mgonja
2. Prof Bertha Koda
3. Monica Mbega
4. Elvis Musiba
5. Ramadhan Khijah
6. Dr Kassim Kapalata
7. William Erio
8. Samwel Lwakatare
inaonyesha zaidi ya bilioni iliondoka.
Je, hii ni halali? Wanacahama wa PPF wengine huishia milioni 20 baada ya kuchangia hata kwa miaka 25. hawa wajumbe wanajilipa milioni 200 kila mtu kwa kukaa ktk vikao vya bodi kipindi kisichofikia hata miaka 5!! Na tena nasikia hao hao tena wamependekezwa kurudi ndani ya Bodi.
BabaDesi, Pole sana; hizo ndio sheria za mafao ya PPF kama zinavyoelezwa ktk PPF Act, No. 14 ya 1978 na marekebisho yake ya 2001.
Lakini, scenario kama yako ilisababisha kurekebishwa kwa kifungu cha 26 na 44 cha sheria ya 1978 hapo mwaka 2001. Kama unadhani huitaji kusubiri kama inavyosema sheria ya PPF basi unalazimika kujitoa kwenye mfuko huo ambapo utarudishiwa michango yako yote na ile ya Mwajiri wako:
"44.-(1) Where a member ceases to be benefits employed in circumstances in which he is not eligible for any pension, gratuity or any other benefit under the provisions of this Act, he shall be refunded the amount of his own contributions and that of his employer to the Fund."
Kumbuka, kifungu kinacholazimisha mafao kutolipwa mpaka ufikishe miaka 55 kiliwekwa strategically kumfanya mhusika ambaye atakuwa amehacha/kuhachishwa kazi kabla ya retirement aendelee na mfuko huo pale anapoajiriwa sehemu nyingine. Kwahiyo inabidi uwathibitishie kwamba hujaajiriwa sehemu nyingine na wala hupokei mafao ya aina yoyote kama ilivyoelezwa kwenye marekebisho ya 2001 [9.(d)(b)] ya kifungu cha 26 cha sheria mama ya 1978.
Niishie hapa, wengine pia waweza kukupa ushauri mzuri zaidi na wenye manufaa. Dukuduku muhimu ambalo tunapaswa kuliangalia ni ufinyu wa fao la PPF. Jamani kwa wenye uzoefu tunaomba tusaidiane, fao analopata mstaafu wa PPF ni dogo sana, kuna umuhimu wa kujipanga ili kuomba mabadiliko kwenye hesabu zinazofanywa maana kuna walakini ukilinganisha na fao walipatalo wastaafu wa mifuko mingine.
Weekend njema!
Jamani nimechunguza hizi habari za ufisadi wa PPF nikagundua kuwa hao wajumbe wanaotajwa kulipwa mamilioni sio kweli. Kwanza bodi haijamaliza muda wake wala hakuna wajumbe walioondoka. Tuangalie waleta habari wasije wakasabisha mtandao wetu ukashatakiwa na hatimaye kufungiwa.
Mhh, hakuna hata mjumbe mmoja aliyelipwa. Habari za aina hii ni hatari mno.
Semsekwa.
Sheria imesema utarudishiwa makato yako + mchango wa mwajiri. Ni wazi kwamba hakutakuwa na suala la interest kwa kuwa wewe ndo unavunja mkataba nao.unarudishiwa na interest au kama ulivyokatwa + mchango wa mwajiri?
jamani Naomba Mnisaidie, Huyu Niliyem-bold. Ndiye Huyu, O-level Na A-level Alisoma Lutheran Junior Seminary Morogoro Au Huyu Ni Mwingine??
Jamani naomba mnisaidie, huyu niliyem-bold. Ndiye huyu, O-level na A-level alisoma Lutheran Junior Seminary Morogoro au huyu ni mwingine??[/SIZE]
Mama Mdogo,
Ni amini Usiamini, I had to ask twice, Ni kweli! Ni kweli! the answer was Yes! Yes! 200 mil NOT 20 or 2 mil. Ni mia mbili!
Naifanyia kazi kutafuta doc. husika ili nizimwage JF.
Kuna mtu pale Chuo chetu Kikuu -UD alalama kwamba those wajumbe wa bodi wamekuwa kama kamati ya Olympic. hawatoki ili kulinda siri za bodi. na somehow, PPF management inawazawadia some sort of ufisadi, ili ku-maintain secrecy.
Particularly was complaining on the behaviour of Prof. Koda ambaye she don't care. Hana tena utetezi wa wanachama walio elimu ya juu bali ni mwanachama anayendeleza ufisadi.
subirini
PPF ni moja ya mifuko ya mafao ya uzeeni ambayo imelalamikiwa sana juu ya malipo duni kwa wanachama wao ikilinganishwa na mifuko mingine.
Habari tuliyonyaka inaonyesha kwamba wajumbe wa Bodi iliyomaliza muda wake kipindi kilichopita ilipitisha na kujilipa milioni 200 kwa kila mjumbe. Hiyo ikiwa eti ni shukrani kwa kazi nzuri waliyofanya.
Nimepiga mahesabu yangu kwa idadi ya wajumbe wa bodi ambao walikuwepo, ambao ni wanane mbali na staff wengine wa pembeni:
1. Gray Mgonja
2. Prof Bertha Koda
3. Monica Mbega
4. Elvis Musiba
5. Ramadhan Khijah
6. Dr Kassim Kapalata
7. William Erio
8. Samwel Lwakatare
inaonyesha zaidi ya bilioni iliondoka.
Je, hii ni halali? Wanacahama wa PPF wengine huishia milioni 20 baada ya kuchangia hata kwa miaka 25. hawa wajumbe wanajilipa milioni 200 kila mtu kwa kukaa ktk vikao vya bodi kipindi kisichofikia hata miaka 5!! Na tena nasikia hao hao tena wamependekezwa kurudi ndani ya Bodi.
Heb