MgonjwaUkimwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 1,336
- 875
Kaka unalazimisha tuamini Wasira ni "anti-membe crusader" like Lowassa?...Tusijazane ujinga kuwa TZ hii hafahamiki mikoa ile bila au lazima kupitia Mawaziri hao...Au wao kuwa ktk Cabinet ndio lazima wamsaidie apate kura za huko? Mbona Membe na Chikawe wote ni Mawaziri ila wanafanyiana fitina.
I didnt say Chikawe isnt popular(I said he lost), you're forcing us to believe his vote are somehow illegitimate & he corrupted the two Ministers part of your allege 700M to Win NEC? if Chikawe & Ghasia voted for their collegue thats great, but FACT CHECKER believes you dont have the right facts correct..anti membe, chikawe anger, ghasia na viwanja, 700M NEC budget, you're allover the map bro
Case closed. Let us wait and see. Lakini kumbuka JK sio mjinga, kama Wasira hasingetumia rushwa kupita NEC kwa kura alizopata kamwe JK hasingemwacha kwenye sekretariati. Haiingii akilini Wasira aliyeshinda kwa kura nyingi sana na kushika nafasi ya kwanza asiwekwe kwenye sekretariati. Ilikuaje JK amwache mtu anayependwa karibu asilimia zaidi ya 80 ya wajumbe wa NEC?