Waziri wa vijana wiki mbili tu ushakimbia ujana kwa spana.

Waziri wa vijana wiki mbili tu ushakimbia ujana kwa spana.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,524
Yule jamaa ukisikiliza mada zake unaweza kujua katoboa kumzidi Bakharesa na matajiri wengine kwa zile kanuni zake.

Si unajua siku hizi umaarufu ndio unapewa idara kwa serikali ya CCM.

Sijui kapotelea wapi?.
 
Yule jamaa ukisikiliza mada zake unaweza kujua katoboa kumzidi Bakharesa na matajiri wengine kwa zile kanuni zake.

Si unajua siku hizi umaarufu ndio unapewa idara kwa serikali ya CCM.

Sijui kapotelea wapi?.
Watu wana degree zao mfukoni unaketa blabla. Wakahutubie wazee na watoto huko
 
Yule jamaa ukisikiliza mada zake unaweza kujua katoboa kumzidi Bakharesa na matajiri wengine kwa zile kanuni zake.

Si unajua siku hizi umaarufu ndio unapewa idara kwa serikali ya CCM.

Sijui kapotelea wapi?.
Alivyo boya yaani hata kusemea vifo hapana analeta siasa za kijinga. Anadhani u motivational speaker watu watamsikiliza
 
Serikali msikate tamaa , Nia yenu nzuri ndio itakayo waikoa na sio janjanja za ulaghai kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom