Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,634
- 46,277
Waziri wa Ulinzi wa Uingereza amenukuliwa akisema "the era of the peace dividend is over" kwa tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili ikimaanisha kipindi cha mvuno wa amani kimeisha.
Ameendelea mbali akisema kwa kuangalia tu juu juu hali inayoendelea duniani sasa kuanzia Russia, China, Iran na Korea Kaskazini na migogoro mengine kila mtu atakuwa na jibu endapo miaka mitano ijayo migogoro itaongezeka au kupungua duniani.
Amesema sasa ni wakati wa nchi washirika na za kidemokrasia kuzidisha bajeti zao za ulinzi kukabaliana vyema na hali ijayo.
Hata hapa Tanzania tunapaswa kujipanga vizuri zaidi kiulinzi kwa kuzingatia migogoro inayoendelea kuanzia ndani ya Jumuiya ya Africa Mashariki hadi nje kwa ujumla
Ameendelea mbali akisema kwa kuangalia tu juu juu hali inayoendelea duniani sasa kuanzia Russia, China, Iran na Korea Kaskazini na migogoro mengine kila mtu atakuwa na jibu endapo miaka mitano ijayo migogoro itaongezeka au kupungua duniani.
Amesema sasa ni wakati wa nchi washirika na za kidemokrasia kuzidisha bajeti zao za ulinzi kukabaliana vyema na hali ijayo.
Hata hapa Tanzania tunapaswa kujipanga vizuri zaidi kiulinzi kwa kuzingatia migogoro inayoendelea kuanzia ndani ya Jumuiya ya Africa Mashariki hadi nje kwa ujumla