sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Waziri wa Ujenzi Prof. Makame Mbarawa pamoja na kamati ya wabunge wasafiri kwa treni toka Dodoma hadi Dar katika zoezi la kujionea miundo mbinu ya njia hiyo ya treni ambapo inatarajiwa kujengwa kwa kiwango cha Standard_Gauge, ujenzi utakaoanza Mwezi December mwaka huu ambapo baada ya kukamilika kwake;
Prof. Mbarawa amesema kwamba treni zinazotarajiwa kupita katika reli hiyo zitakuwa na uwezo wa kutembea kwa mwendokasi wa spidi kati ya 120 hadi 150 na itachukua takribani saa 2 toka Dar hadi Morogoro na saa 4 toka Dar hadi Dodoma.
Chanzo: Chanel Ten habari.
Prof. Mbarawa amesema kwamba treni zinazotarajiwa kupita katika reli hiyo zitakuwa na uwezo wa kutembea kwa mwendokasi wa spidi kati ya 120 hadi 150 na itachukua takribani saa 2 toka Dar hadi Morogoro na saa 4 toka Dar hadi Dodoma.
Chanzo: Chanel Ten habari.