ENANTIOMER
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 1,419
- 804
- Thread starter
- #21
hahahahaaaa!Yaani unapoajiriwa andaa file kabisa LA mambo ya halmashauri maana hawachelewi kukupiga, mimi namatatizo nao makubwa na tutafikishana nao mbali maana wamejaribu kuniibia wameshindwa
wanajaribu kukuibia ila wanashindwa, kwanini wasikuache kisha wakawaibia wale wapole? ina maana wao hawasomi ramani kabla ya kufanya uporaji?