onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,346
- 1,303
Mlioko jirani au huko Ivory Coast mwambieni waziri aachane na tabia ya kuingilia maandalizi mechi ya Taifa Stars.
Mara ampigie simu rais ni kuwavuruga wachezaji.
Yeye kama ana Nia njema aweke mazingira Vijana wakuzwe vipaji kwa kuandaa mazingira salama na motivation kadhaa.
Sioni kama Nia yake inaweza kuzaa chochote tabia ya kuvurugana haitatuacha salama. Tunaweza kupigwa mechi zote
Mara ampigie simu rais ni kuwavuruga wachezaji.
Yeye kama ana Nia njema aweke mazingira Vijana wakuzwe vipaji kwa kuandaa mazingira salama na motivation kadhaa.
Sioni kama Nia yake inaweza kuzaa chochote tabia ya kuvurugana haitatuacha salama. Tunaweza kupigwa mechi zote