Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,285
- 9,920
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Frank - Walter Stainmeier kufanya ziara Tanzania, Waziri huyo anatarajia kufanya mazungumzo na Rais wa Tanzania Mama Samia Hassan na Viongozi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA.
Ziara hiyo inaanza kesho
Source
DW
Ziara hiyo inaanza kesho
Source
DW